Mtuturas
JF-Expert Member
- Apr 18, 2017
- 456
- 867
Ila hii nchi uwelewa wa watu ni ndogo sana, yaani kuna mtu kama huyu mtoa mada hafahamu kama ffu, ni kitengo tu ndani ya Jeshi la Polisi.
Dah kweli hii nchi wajinga ni wengi sana.
Dah mtoa post I am very sorry nimetokeq kukuonaje sijui Kwa hilo swali lako
Dah kweli hii nchi wajinga ni wengi sana.
Dah mtoa post I am very sorry nimetokeq kukuonaje sijui Kwa hilo swali lako