Naomba kujuzwa sifa za kujiunga FFU

Naomba kujuzwa sifa za kujiunga FFU

Ila hii nchi uwelewa wa watu ni ndogo sana, yaani kuna mtu kama huyu mtoa mada hafahamu kama ffu, ni kitengo tu ndani ya Jeshi la Polisi.
Dah kweli hii nchi wajinga ni wengi sana.
Dah mtoa post I am very sorry nimetokeq kukuonaje sijui Kwa hilo swali lako
 
Ila hii nchi uwelewa wa watu ni ndogo sana, yaani kuna mtu kama huyu mtoa mada hafahamu kama ffu, ni kitengo tu ndani ya Jeshi la Polisi.
Dah kweli hii nchi wajinga ni wengi sana.
Dah mtoa post I am very sorry nimetokeq kukuonaje sijui Kwa hilo swali lako
Mbongo ushaambiwa ukitaka kumnyima maarifa weka kwenye maandishi tu.
Inasikitisha sana.
Ila muulize habari za Udaku za kina Bongo Fleva ama Movie uone anavotiririka.
 
Sio umasai sema ilitokea mistake, niliondoka mwanza kwa sista kwa muda kufika kule, nikapelekwa chuo, kipindi hiko kulikuwa wenye sm wachache tu sikuwa nayo, ye kajua nimeenda kuolewa kumbe Wala, kurudi nimekwenda, kanipokea vizuri tu, nimekaa chini kaniambia ulivyoondoka nilizani umeolewa, Kuna mwanamke nipo naye, mi sipend Mambo ya ugomvi, hapa line mtaweza kufanya fujo, ndo kisa kuachana, kwa Nini ukwenda kule ffu kuomba kupiga sim, mi kimya, Ila akiniona anasimamisha gari tunaongea tatizo Mara nyingi anakuwa na wenzake, na Kuna siku aliniambia sema nikusaidie Nini, nikamwambia siitaji msaada wowote, baadhi ya watu waminiambia mjinga kweli.
Shoo ya Mmasai uliielewa? Kama ndiyo nijibu nije PM
 
Mbongo ushaambiwa ukitaka kumnyima maarifa weka kwenye maandishi tu.
Inasikitisha sana.
Ila muulize habari za Udaku za kina Bongo Fleva ama Movie uone anavotiririka.
maandishi ya sifa za FFU yapo wapi?
 
Back
Top Bottom