Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
au utakuta chai kikombe kimoja alafu vitumbua 9Ugali, wali au ndizi ndio chakula cha kushibisha, mboga ni kichocheo tu cha kulia ugali au wali, ni ajabu kukuta mboga ni nyingi kuliko ugali au wali
Wee mbona unanitisha sasa mzee!Mkiambiwaga tunaishi na mizimu ndo mjue!.. huo ugali unashare na mizimu ya kwenu wanakuachia mboga ila sio mara zote!, subiri nawe zamu yako ya kuwa mzimu itakapofika utapata majibu ya maswali yako..[emoji23]
Siwezi kutisha mzimu tarajiwa mimi tulia kijana..😂Wee mbona unanitisha sasa mzee!
Du! balaaSiwezi kutisha mzimu tarajiwa mimi tulia kijana..[emoji23]
Ila ili swala lako nita muuliza Dr MUSHANA ndo nitajua kama Kuna ukweliMkiambiwaga tunaishi na mizimu ndo mjue!.. huo ugali unashare na mizimu ya kwenu wanakuachia mboga ila sio mara zote!, subiri nawe zamu yako ya kuwa mzimu itakapofika utapata majibu ya maswali yako..[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]au utakuta chai kikombe kimoja alafu vitumbua 9
Ugali, wali au ndizi ndio chakula cha kushibisha, mboga ni kichocheo tu cha kulia ugali au wali, ni ajabu kukuta mboga ni nyingi kuliko ugali au wali
Picha yajieleza hapo juu.unakuta kama ni ugali au kati ya hivyo sahani inakuwa imejaa top lakini Cha hajabu mboga unakuta kwenye bakuli vimnofu 2