Naomba kujuzwa Soko la ajira kwa kozi ya Mining Engineering

Naomba kujuzwa Soko la ajira kwa kozi ya Mining Engineering

Nimegraduate mining Engineering 2021 Udom, kozi ni nzuri sana shida ni limited number ya migodi mikubwa yani Large scale mines au Wizarani & Tume ya madini, ambazo ndizo zinalipa vizuri. Kikubwa ni kwamba kama huna ramani yoyote we omba Mungu tu pia uwe tayari kujitosa kwenye mashimo ya small scale mines ambayo ni rahisi kuingia lakini usalam wake ni mdogo sana kwa kuwa teknolojia yao ni ndogo unaweza ukapata pakuanzia ukagain yani usiwe muoga.
Pia kuna ishu za blasting ambazo unaweza ukafanya hata kwenye mine sites ambazo sio underground yani open pits au kwenye civil companies zinazofanya quarrying huwa wanaitaji mablaster etc

Basically itategemea unajiposition vipi ila ni sekta ambayo ina uhitaji mkubwa ila shida yake inahitaji uwekezaji mkubwa sana na unaoeleweka tofauti na hapo kazi ni nzito.
 
Nimegraduate mining Engineering 2021 Udom, kozi ni nzuri sana shida ni limited number ya migodi mikubwa yani Large scale mines au Wizarani & Tume ya madini, ambazo ndizo zinalipa vizuri. Kikubwa ni kwamba kama huna ramani yoyote we omba Mungu tu pia uwe tayari kujitosa kwenye mashimo ya small scale mines ambayo ni rahisi kuingia lakini usalam wake ni mdogo sana kwa kuwa teknolojia yao ni ndogo unaweza ukapata pakuanzia ukagain yani usiwe muoga.
Pia kuna ishu za blasting ambazo unaweza ukafanya hata kwenye mine sites ambazo sio underground yani open pits au kwenye civil companies zinazofanya quarrying huwa wanaitaji mablaster etc

Basically itategemea unajiposition vipi ila ni sekta ambayo ina uhitaji mkubwa ila shida yake inahitaji uwekezaji mkubwa sana na unaoeleweka tofauti na hapo kazi ni nzito.
M nime graduate Mineral Processing,Udom pia...Ushauri wako aufanyie kazi,wengi njia za kufikia tulipo ni kuanzia chini (asikwambie mtu machimbo kuna connections nyingi kuliko kawaida,ukijitambua lakini)
 
Nimegraduate mining Engineering 2021 Udom, kozi ni nzuri sana shida ni limited number ya migodi mikubwa yani Large scale mines au Wizarani & Tume ya madini, ambazo ndizo zinalipa vizuri. Kikubwa ni kwamba kama huna ramani yoyote we omba Mungu tu pia uwe tayari kujitosa kwenye mashimo ya small scale mines ambayo ni rahisi kuingia lakini usalam wake ni mdogo sana kwa kuwa teknolojia yao ni ndogo unaweza ukapata pakuanzia ukagain yani usiwe muoga.
Pia kuna ishu za blasting ambazo unaweza ukafanya hata kwenye mine sites ambazo sio underground yani open pits au kwenye civil companies zinazofanya quarrying huwa wanaitaji mablaster etc

Basically itategemea unajiposition vipi ila ni sekta ambayo ina uhitaji mkubwa ila shida yake inahitaji uwekezaji mkubwa sana na unaoeleweka tofauti na hapo kazi ni nzito.
shukran kaka
 
Usiwe na hofu soma kwa bidii.Mimi nilisoma cozi ambayo kila mtu hadi ndugu wanajua haina ajira lakini huwezi amini nilikaa nyumbani miezi mitatu tu nikapata kazi ya kujishkiza na kupitia kazi hiyo nikapata kazi niliyosomea.Kijana muamini Mwenyezi Mungu utafika sehem wew mwenyew utajishangaa umefikqje
 
Usiwe na hofu soma kwa bidii.Mimi nilisoma cozi ambayo kila mtu hadi ndugu wanajua haina ajira lakini huwezi amini nilikaa nyumbani miezi mitatu tu nikapata kazi ya kujishkiza na kupitia kazi hiyo nikapata kazi niliyosomea.Kijana muamini Mwenyezi Mungu utafika sehem wew mwenyew utajishangaa umefikqje
🙏MUNGU KWANZA.....shukran
 
Back
Top Bottom