Naomba kujuzwa supplement nzuri ya varicose vein

Naomba kujuzwa supplement nzuri ya varicose vein

emmarki

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2012
Posts
1,001
Reaction score
1,430
Mama ni mtu mzima kidogo anaeleka miaka 65. Ana shida mishipa ya miguuni inauma sana na kutokezea kwa juu.

Hospital kaenda kaaimbiwa ana shida ya mishipa kuvimba (varicose veins). Matibabu yake ni either upasuji ambayo kwake yeye anaogopa kulingana na umri wake.

Naomba kufahamishwa food supplement zinzoweza kumsaidia kukabiliana na maumivu au kueeza kuondoa hilo tatizo kabisa.
 
Mama ni mtu mzima kidogo anaeleka miaka 65. Ana shida mishipa ya miguuni inauma sana na kutokezea kwa juu.

Hospital kaenda kaaimbiwa ana shida ya mishipa kuvimba (varicose veins). Matibabu yake ni either upasuji ambayo kwake yeye anaogopa kulingana na umri wake.

Naomba kufahamishwa food supplement zinzoweza kumsaidia kukabiliana na maumivu au kueeza kuondoa hilo tatizo kabisa.
Atumie pia varicose vein stocking
 
Mama ni mtu mzima kidogo anaeleka miaka 65. Ana shida mishipa ya miguuni inauma sana na kutokezea kwa juu.

Hospital kaenda kaaimbiwa ana shida ya mishipa kuvimba (varicose veins). Matibabu yake ni either upasuji ambayo kwake yeye anaogopa kulingana na umri wake.

Naomba kufahamishwa food supplement zinzoweza kumsaidia kukabiliana na maumivu au kueeza kuondoa hilo tatizo kabisa.
Kaka huko Hospitali ndio ungepata maelezo sahihi.

Huku sisi bushdokta tutakutia miti shamba tu
 
Kaka huko Hospitali ndio ungepata maelezo sahihi.

Huku sisi bushdokta tutakutia miti shamba tu
wanakuambia atumie mafuta ya kuchua, ameshafanya sana anapata unafuaa wa kutohisi maumivu kwa masaa machache
 
wanakuambia atumie mafuta ya kuchua, ameshafanya sana anapata unafuaa wa kutohisi maumivu kwa masaa machache
Mpeleke kwenye Hospitali kubwa ambako kuna vipimo na Maelezo sahihi ya Kibingwa ikiwezekana.
 
Mama ni mtu mzima kidogo anaeleka miaka 65. Ana shida mishipa ya miguuni inauma sana na kutokezea kwa juu.

Hospital kaenda kaaimbiwa ana shida ya mishipa kuvimba (varicose veins). Matibabu yake ni either upasuji ambayo kwake yeye anaogopa kulingana na umri wake.

Naomba kufahamishwa food supplement zinzoweza kumsaidia kukabiliana na maumivu au kueeza kuondoa hilo tatizo kabisa.

Varicose veins: hutokana na valvu zilizoko kwenye mishipa ya veini kushindwa kuhimili kushikilia kolamu ya famu inayorudi kwenye moyo ikitokea mwilini.

Hii husababisha stasis/ mwenendo na kasi ya damu kutokuwa sawa/kupungua na matokeo yake kutuama sehemu husika. Zaidi ya hapo mishipa husika hutanuka na kuleta maumivu na muwasho.

**** sanabu nyingi zinazohusishwa zikiwemo:
*kuongezeka kwa mgandamizo ndani ya mishipa.
*uremavu kwenye kuta zamishipa unaotokana na kasoro za material za ujenzi.

Tiba
Hutegemea na kiasi
1: Dawa ya kulainisha damuya kupaka
2: Soksi za kuvaa zikianzia kwenye sehemu ya kukanyagia mpaka kwenye mapaja.
3: Upasuaji ambao hutegemea na sehemu, ikihusisha kuhamisha mshipa mzima kwenye eneo la ule mbove au ku-bypass au kuondoa bila kuwa na athari yoyote.

Hivi karibuni wataalamu to hospitali ya taifa Muhimbili walikuwa na kliniki iliyohusisha haya mambo.

IMG-20240911-WA0001.jpg
 
Varicose veins: hutokana na valvu zilizoko kwenye mishipa ya veini kushindwa kuhimili kushikilia kolamu ya famu inayorudi kwenye moyo ikitokea mwilini.

Hii husababisha stasis/ mwenendo na kasi ya damu kutokuwa sawa/kupungua na matokeo yake kutuama sehemu husika. Zaidi ya hapo mishipa husika hutanuka na kuleta maumivu na muwasho.

**** sanabu nyingi zinazohusishwa zikiwemo:
*kuongezeka kwa mgandamizo ndani ya mishipa.
*uremavu kwenye kuta zamishipa unaotokana na kasoro za material za ujenzi.

Tiba
Hutegemea na kiasi
1: Dawa ya kulainisha damuya kupaka
2: Soksi za kuvaa zikianzia kwenye sehemu ya kukanyagia mpaka kwenye mapaja.
3: Upasuaji ambao hutegemea na sehemu, ikihusisha kuhamisha mshipa mzima kwenye eneo la ule mbove au ku-bypass au kuondoa bila kuwa na athari yoyote.

Hivi karibuni wataalamu to hospitali ya taifa Muhimbili walikuwa na kliniki iliyohusisha haya mambo.

View attachment 3111462
aisee
 
Tumia manemane inatibu magonjwa yote, IPO kama vijiwe ila ukiweka kwenye maji inayeyuka.
 
zinapatikana pharmacy gani mkuu
Compression stocking kwa DSM angalia: Mdee pharmacy, Nakiete phamacy, Shamshudin pharmacy au JD pharmacy.

NB: Ni vyema kuangaliwa na daktari kuona kama kwa kiasi chake anaweza kusaidika na pia kujua size nzuri kwake.
 
Back
Top Bottom