Naomba kujuzwa tafadhali

lwa kalolo

Senior Member
Joined
Nov 24, 2014
Posts
173
Reaction score
94
Imekuwa ni kawaida mfanya kazi anapo fukuzwa kazi ktk sekita binafisi mfano ktk migodi anachafuliwa cv zake ktk mtandao kiasi kwamba huwezi kupata kazi mahara pengine sasa naomba kujuzwa kisheria imekaaje hiyo je
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…