Naomba kujuzwa taratibu/masharti yanayoandikwa Guest House au Lodge

Naomba kujuzwa taratibu/masharti yanayoandikwa Guest House au Lodge

Loimata

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2022
Posts
749
Reaction score
1,741
Habari ya jioni wakuu.

Natarajia kufungua guest house soon hivyo kuna vitu vingi kuhusu hii biashara nahitaji kuvijua..

Kwenye lodge nyingi ukiingia huwa unakuta wamebandika kikaratasi chenye kuelezea taratibu zao au marufuku ya vitu ambavyo mteja huruhusiwi kufanya.

Naomba wenye guest wenzangu au wapendwa ambao mnasafiri mara kwa mara na kulazimika kulala lodge mnisaidie kuorodhesha masharti uliyokutana nayo ktk lodge mbalimbali na iwapo upo lodge muda huu hebu piga picha hiyo karatasi hapo ukutani unibless nayo hdpa!🙏

Vile vile ushauri wowote kuhusu uendeshaji wa lodge utapokelewa kwa moyo wa shukrani.

ASANTENI
 
Back
Top Bottom