NAXFRA
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 392
- 74
Ndugu wanajukwa natumaini muwazima? Naleta maada kwenu kama wataalamu. mada hii sijaipeleka jukwaa la elimu kwa sababu najua jukwaa hili kunawajuzi na wataalamu waliobobea.
Mimi ni mwalimu nategemea kwenda kusoma nje ya nchi (nchini Uganda) shahada ya pili (uzamili), hii nikulingana na gharama ndogo pamoja na sh. yetu kuwa juu kwa wenzetu jira.
Hivyobasi, sina ufahamu juu ya taratibu na kunufaika toka kwa mwajili wangu kwa gharama tofauti na "tuition fee". Japo nimejaribu kufuatilia "standing order" kunavitu sikuvielewa hasa sitahiki zingine na za familia yangu.
Natanguliza shukrani.
Mimi ni mwalimu nategemea kwenda kusoma nje ya nchi (nchini Uganda) shahada ya pili (uzamili), hii nikulingana na gharama ndogo pamoja na sh. yetu kuwa juu kwa wenzetu jira.
Hivyobasi, sina ufahamu juu ya taratibu na kunufaika toka kwa mwajili wangu kwa gharama tofauti na "tuition fee". Japo nimejaribu kufuatilia "standing order" kunavitu sikuvielewa hasa sitahiki zingine na za familia yangu.
Natanguliza shukrani.