nyahinga
Member
- Dec 18, 2016
- 45
- 23
Habari JF,
Naomba kuuliza utaratibu wa kubadili kazi kutoka kuwa mwalimu na kuwa afisa lishe wa wilaya. Nimesoma BSc. In human Nutrition lakini pia nikasoma postgraduate diploma in education.
Kwa Sasa nafanya kazi kama mwalimu, Ila nataka kuhamia kwenye field ya mwanzo. Yaani nataka nifanye kazi Kama afisa lishe wa wilaya. Naomba kufafanuliwa kama inawezekana au la.
Shukrani sana.
Naomba kuuliza utaratibu wa kubadili kazi kutoka kuwa mwalimu na kuwa afisa lishe wa wilaya. Nimesoma BSc. In human Nutrition lakini pia nikasoma postgraduate diploma in education.
Kwa Sasa nafanya kazi kama mwalimu, Ila nataka kuhamia kwenye field ya mwanzo. Yaani nataka nifanye kazi Kama afisa lishe wa wilaya. Naomba kufafanuliwa kama inawezekana au la.
Shukrani sana.