Mimi nimesoma sheria ila nameajiriwa kama mwalimu ( PGDE) kwa hiyo mimi ni kama wewe , ila swali langu kwako umechunguza na umejiridhisha kuwa halmshauri ni sehemu sahihi kwako, kwa utafiti wangu halmshauri ni mahala pa kiboya zaidi , bora ubaki as mwalimu huku ukisubiri ajira za kuhamia kwenye mashirika na tasisi za serikali,