Billions dealer
Member
- Apr 9, 2020
- 18
- 21
Mbona mifano yako yote umeizungumzia Kenya?? Europe je au America??Labda haujaeleweka.
Mfano wewe ni raia wa kawaida tu. Unakaa Tanzania. Unataka kwenda Kenya na Siraha yako. Haiwezekani. Unatakiwa uiache Tanzania. Ukifika Kenya ufanye taratibu za kibali cha kumiliki silaha nchini Kenya ndio ufanye utaratibu wa kuisafirisha ile silaha na documents zake ifike Kenya.
Mfano wa pili. Wewe ni raia wa Tanzania lakini shughuli zako unazifanyia Kenya. Itakupaswa uwe na vibali vya nchi zote kumiliki silaha.
Mfano wa tatu. Wewe Mtanzania unataka kwenda kazini kwako Kenya. Na una vibali vya kumiliki silaha vya nchi zote mbili. Ukifika kwenye ndege unaikabidhi ile silaha (mara nyingi zinakaa kwa captain kule kwenye ka ghetto kake) utapewa wakati wa kucheck out. Hauruhusiwi kukaa nayo kwenye cabin.
Kenya = Any country.Mbona mifano yako yote umeizungumzia Kenya?? Europe je au America??
Labda haujaeleweka.
Mfano wewe ni raia wa kawaida tu. Unakaa Tanzania. Unataka kwenda Kenya na Siraha yako. Haiwezekani. Unatakiwa uiache Tanzania. Ukifika Kenya ufanye taratibu za kibali cha kumiliki silaha nchini Kenya ndio ufanye utaratibu wa kuisafirisha ile silaha na documents zake ifike Kenya.
Mfano wa pili. Wewe ni raia wa Tanzania lakini shughuli zako unazifanyia Kenya. Itakupaswa uwe na vibali vya nchi zote kumiliki silaha.
Mfano wa tatu. Wewe Mtanzania unataka kwenda kazini kwako Kenya. Na una vibali vya kumiliki silaha vya nchi zote mbili. Ukifika kwenye ndege unaikabidhi ile silaha (mara nyingi zinakaa kwa captain kule kwenye ka ghetto kake) utapewa wakati wa kucheck out. Hauruhusiwi kukaa nayo kwenye Asante sana kwa ufafanuzi mkubwa uliout
Asante sana kwa ufafanuzi mkubwa ulioutoa mkuu, nimeelewa mno.Labda haujaeleweka.
Mfano wewe ni raia wa kawaida tu. Unakaa Tanzania. Unataka kwenda Kenya na Siraha yako. Haiwezekani. Unatakiwa uiache Tanzania. Ukifika Kenya ufanye taratibu za kibali cha kumiliki silaha nchini Kenya ndio ufanye utaratibu wa kuisafirisha ile silaha na documents zake ifike Kenya.
Mfano wa pili. Wewe ni raia wa Tanzania lakini shughuli zako unazifanyia Kenya. Itakupaswa uwe na vibali vya nchi zote kumiliki silaha.
Mfano wa tatu. Wewe Mtanzania unataka kwenda kazini kwako Kenya. Na una vibali vya kumiliki silaha vya nchi zote mbili. Ukifika kwenye ndege unaikabidhi ile silaha (mara nyingi zinakaa kwa captain kule kwenye ka ghetto kake) utapewa wakati wa kucheck out. Hauruhusiwi kukaa nayo kwenye cabin.
Labda haujaeleweka.
Mfano wewe ni raia wa kawaida tu. Unakaa Tanzania. Unataka kwenda Kenya na Siraha yako. Haiwezekani. Unatakiwa uiache Tanzania. Ukifika Kenya ufanye taratibu za kibali cha kumiliki silaha nchini Kenya ndio ufanye utaratibu wa kuisafirisha ile silaha na documents zake ifike Kenya.
Mfano wa pili. Wewe ni raia wa Tanzania lakini shughuli zako unazifanyia Kenya. Itakupaswa uwe na vibali vya nchi zote kumiliki silaha.
Mfano wa tatu. Wewe Mtanzania unataka kwenda kazini kwako Kenya. Na una vibali vya kumiliki silaha vya nchi zote mbili. Ukifika kwenye ndege unaikabidhi ile silaha (mara nyingi zinakaa kwa captain kule kwenye ka ghetto kake) utapewa wakati wa kucheck out. Hauruhusiwi kukaa nayo kwenye Asante sana kwa ufafanuzi mkubwa uliout
Asante sana kwa ufafanuzi mkubwa ulioutoa mkuu, nimeelewa mnoLabda haujaeleweka.
Mfano wewe ni raia wa kawaida tu. Unakaa Tanzania. Unataka kwenda Kenya na Siraha yako. Haiwezekani. Unatakiwa uiache Tanzania. Ukifika Kenya ufanye taratibu za kibali cha kumiliki silaha nchini Kenya ndio ufanye utaratibu wa kuisafirisha ile silaha na documents zake ifike Kenya.
Mfano wa pili. Wewe ni raia wa Tanzania lakini shughuli zako unazifanyia Kenya. Itakupaswa uwe na vibali vya nchi zote kumiliki silaha.
Mfano wa tatu. Wewe Mtanzania unataka kwenda kazini kwako Kenya. Na una vibali vya kumiliki silaha vya nchi zote mbili. Ukifika kwenye ndege unaikabidhi ile silaha (mara nyingi zinakaa kwa captain kule kwenye ka ghetto kake) utapewa wakati wa kucheck out. Hauruhusiwi kukaa nayo kwenye cabin.
Unamaanisha "rungu"?[emoji1787][emoji1787]Hapa tunaomiliki marungu haturuhusiwi ety [emoji1]
Hata kama unamiliki kifaru utaratibu ni huo huo.Kusafiri na mishale vipi
Shukurani mkuuHata kama unamiliki kifaru utaratibu ni huo huo.
umeenda extra mile 🤣🤣🤣🤣Unamaanisha "rungu"?[emoji1787][emoji1787]