Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh hii mbona ni ngumu HahaaaMkuu, kama ukikosa msaada, pakia mzigo wahusika wakikukamata watakupa utaratibu
Mkuu nauza ndani lkn sijawahi kuuza nje nchi ndo maana naomba msaadaKama ujawahi kufanya biashara ya asali kabisa. Anza kua supplier wa humu humu Tz kwanza peleka hata Zanzibar na nchi jirani kama Comoro, hope utapata uzoefu then ndio uende ughaibuni. Maisha ni hatua
Saa hv 160,000 mkuu taboraMkuu dumu1 hapa TZ ni bei gani kwa sasa ?
Anhaa sawa mkuu, Nashukuru!!Saa hv 160,000 mkuu tabora
Nahitaji asali, nije pm?Mkuu nauza ndani lkn sijawahi kuuza nje nchi ndo maana naomba msaada
Hiyo 160,000 ni dumu la ukubwa gani?Saa hv 160,000 mkuu tabora
Lita Tano reja reja ni 50000/= Kwa tabora na maeneo ya jirani ikiingia mjini kama dar au miji mingine bei tegemea kuongezeka.160000 ÷ 4 = 40000
So kila Lita 5 ni 40000
40000 ÷ 5 = 8000
So Lita moja ni 8000
Kama packages na cost zingine per unit ni 1500+ 8000 = 9500
Mbona Haina faida mkuu?
Je ulaya umepata soko?
Uko wapi?
Unaweza zalisha kiasi Gani walau kwa mwezi?
Ninataka kufuga nyuki, nina pori/msitu zaidi ya eka 50.Saa hv 160,000 mkuu tabora
Asante mkuu lakini pia huko nimepata sehemu wananunua wao alafu wao ndo wanaipakiKama upo Dar kuna TBS au Mpingo House Pale watakupa utaratibu ila juwa kuwa ulaya kuna trade tariff sio poowa
Niliangalia Documentary YouTube how Ulaya inawalinda wakulima wao na bidhaa za Africa na how wanafanya dumping Africa sio poowa
Kila la kheri
Sina lakini wataalamu wa nyuki wapo wengi boss Tatizo watanzania hatutaki kushikana mkonoNinataka kufuga nyuki, nina pori/msitu zaidi ya eka 50.
Je una utaalam wowote?
Nini huwa inawekwa kwenye mzinga kuvutia nyuki?
AsanteKazame DM ya balozi Togolani anakusaidia kukushika mkono, the guy is very smart na anatoa sana connection
Njoo bossNahitaji asali, nije pm?