M mnyalukoloh Member Joined Jun 8, 2015 Posts 74 Reaction score 31 Jan 22, 2020 #1 Msaada, kuna gari inauzwa Zambia na imesajiliwa inapiga kazi. Nikitaka kuileta Tanzania. Naomba kujuzwa utaratibu na gharama ukoje. Aina ya gari ni Rosa.
Msaada, kuna gari inauzwa Zambia na imesajiliwa inapiga kazi. Nikitaka kuileta Tanzania. Naomba kujuzwa utaratibu na gharama ukoje. Aina ya gari ni Rosa.
M mnyalukoloh Member Joined Jun 8, 2015 Posts 74 Reaction score 31 Jan 22, 2020 Thread starter #2 mnyalukoloh said: msada. kuna gari inauzwa zambia na imesajiliwa inapiga kazi.nikitaka kuileta tanzania.naomba kujuzwa utaratibu na gharama ukoje. aina ya gari rosa Click to expand... piteni mnisaidie
mnyalukoloh said: msada. kuna gari inauzwa zambia na imesajiliwa inapiga kazi.nikitaka kuileta tanzania.naomba kujuzwa utaratibu na gharama ukoje. aina ya gari rosa Click to expand... piteni mnisaidie
lukinga01 JF-Expert Member Joined Jul 12, 2015 Posts 415 Reaction score 382 Jan 24, 2020 #3 Utaratibu ni ule ule kama unaloingiza kutoja Japan.