Naomba kujuzwa taratibu za kutoa gari Zambia na kuisajili Tanzania

Naomba kujuzwa taratibu za kutoa gari Zambia na kuisajili Tanzania

mnyalukoloh

Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
74
Reaction score
31
Msaada, kuna gari inauzwa Zambia na imesajiliwa inapiga kazi. Nikitaka kuileta Tanzania. Naomba kujuzwa utaratibu na gharama ukoje. Aina ya gari ni Rosa.
 
Back
Top Bottom