Naomba kujuzwa taratibu za TRA katika kufungua Shule Mpya

Naomba kujuzwa taratibu za TRA katika kufungua Shule Mpya

Kanye2016

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2016
Posts
2,904
Reaction score
3,006
Habarini Wakuu,

Kuna shule mpya imefunguliwa huko Kinyerezi ambayo itaanza operation officially kuanzia January 2022.

Shule itakuwa ni ya Pre and Primary School mbeleni itakuwa na secondary pia.

kabla ya kwenda ofisi husika za TRA vingunguti, Mwenye shule anataka kujua taratibu za TRA Zikoje kuhusu Kodi.

Alishaona msala wa St Jude pale TRA walipokomba 500m yote kwenye account.

Hapa anataka kujua:-

1) Anatakiwa alipe kodi ipi na ipi?
2) Vitabu gani vya mahesabu anatakiwa aandae?
3) Efd risit ni lazima?

Kwa wale wenye ujuzi wa masuala ya shule naomba msaada wenu tafadhali.
 
Yani mtu kawekeza mamilioni kujenga miundo mbinu na asijue kama atalipa kodi au halipi? pia kapata hadi vibali wizrani lakini asijue vitu vidogo kama hivyo?

Nadhani ndio anatafuta kujua mkuu, unaweza kuona ni madogo kwako ila huyu hajui.....
 
Habarini Wakuu,

Kuna shule mpya imefunguliwa huko Kinyerezi ambayo itaanza operation officially kuanzia January 2022.

Shule itakuwa ni ya Pre and Primary School mbeleni itakuwa na secondary pia.

kabla ya kwenda ofisi husika za TRA vingunguti, Mwenye shule anataka kujua taratibu za TRA Zikoje kuhusu Kodi.

Alishaona msala wa St Jude pale TRA walipokomba 500m yote kwenye account.

Hapa anataka kujua:-

1) Anatakiwa alipe kodi ipi na ipi?
2) Vitabu gani vya mahesabu anatakiwa aandae?
3) Efd risit ni lazima?

Kwa wale wenye ujuzi wa masuala ya shule naomba msaada wenu tafadhali.
Mimi naomba ajira kama Operations manager
 
Hatari sana, mpaka anawezkeza na kufikia kufungua ina maana hajapitia ofisi zozote za mamlaka kwa miongozo...
 
Habarini Wakuu,

Kuna shule mpya imefunguliwa huko Kinyerezi ambayo itaanza operation officially kuanzia January 2022.

Shule itakuwa ni ya Pre and Primary School mbeleni itakuwa na secondary pia.

kabla ya kwenda ofisi husika za TRA vingunguti, Mwenye shule anataka kujua taratibu za TRA Zikoje kuhusu Kodi.

Alishaona msala wa St Jude pale TRA walipokomba 500m yote kwenye account.

Hapa anataka kujua:-

1) Anatakiwa alipe kodi ipi na ipi?
2) Vitabu gani vya mahesabu anatakiwa aandae?
3) Efd risit ni lazima?

Kwa wale wenye ujuzi wa masuala ya shule naomba msaada wenu tafadhali.

Mkuu nakushauri upate tax consultant yeye ndo atakuwa anakushauri na kukusaidia issues zako za kikodi. Lakini pia usiogope kufika ofisi za TRA kwa elimu zaidi.

Kwa ufupi kodi utakazokuwa unalipa ni;
1. Kodi ya mapato
2. Kodi za ajira (PAYE)
3. Kodi ya zuio kwenye huduma (withholding taxes)

Kwa maelezo zaidi fika ofisi za TRA pamoja na kumpata huyo tax consultant

Ahsante
 
Habarini Wakuu,

Kuna shule mpya imefunguliwa huko Kinyerezi ambayo itaanza operation officially kuanzia January 2022.

Shule itakuwa ni ya Pre and Primary School mbeleni itakuwa na secondary pia.

kabla ya kwenda ofisi husika za TRA vingunguti, Mwenye shule anataka kujua taratibu za TRA Zikoje kuhusu Kodi.

Alishaona msala wa St Jude pale TRA walipokomba 500m yote kwenye account.

Hapa anataka kujua:-

1) Anatakiwa alipe kodi ipi na ipi?
2) Vitabu gani vya mahesabu anatakiwa aandae?
3) Efd risit ni lazima?

Kwa wale wenye ujuzi wa masuala ya shule naomba msaada wenu tafadhali.
Afike ofisi za TRA atapewa utaratibu wote.
 
Nenda kwanza TRA, usijaribu kuanza kupokea ada au masomo bila idhini ya hao jamaa!
 
Mkuu nakushauri upate tax consultant yeye ndo atakuwa anakushauri na kukusaidia issues zako za kikodi. Lakini pia usiogope kufika ofisi za TRA kwa elimu zaidi.

Kwa ufupi kodi utakazokuwa unalipa ni;
1. Kodi ya mapato
2. Kodi za ajira (PAYE)
3. Kodi ya zuio kwenye huduma (withholding taxes)

Kwa maelezo zaidi fika ofisi za TRA pamoja na kumpata huyo tax consultant

Ahsante
Shukran sana mkuu
 
Anzia ofisinza wadhibiti ubora wa wilaya yako wakague wajiridhishe , dheni wakupe kibali kuhusu kodi km sheria haijabadiliahwa unapoanzisha shule kwa mara ya kwanza unakaa miaka 5 bila kulipia kodi , na utapewa msamaha wa kodi ukiagiza magari au vifaa vya shule kutoka nje ...ktk kipindi cha miaka 5 ya matazamio
 
Back
Top Bottom