Naomba kujuzwa tiba asili ya kuunga mifupa iliyovunjika

Naomba kujuzwa tiba asili ya kuunga mifupa iliyovunjika

Chief Wingia

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2013
Posts
2,653
Reaction score
4,744
Habari zenu ndugu,

Naomba mwenye mawasiliano ya daktari wa tiba asili nimevunjika mkono hali ni mbaya maana ninivyosikia tiba yao ni ndani ya wiki mbili tu no operation no kuweka chuma na unakuwa fresh.

Wadau wa nenda hospital sitaki kuwasikia maana nimetoka MOI na sitaki kwenda maana wanataka kufanyia operation na kuweka chuma ambavyo mimi sihitaji.

Nipo Dar es Salaam.

IMG_20230321_013356.jpg
IMG_20230323_170616.jpg
 
Sina mawasiliano ila kuna mtoto alidondoka kwenye mwembe akavunjika mguu, aliungwa kienyeji bila kwenda hosptali.

Japo sina uhakika sana huenda aliteguka tu, ila kwa maelezo yao wanasema alivunjika kabisa.

Dogo yuko vizuri hata kukimbia anakimbia japo mwanzo alikuwa hawezi hata kusimama.
 
Sina mawasiliano ila kuna mtoto alidondoka kwenye mwembe akavunjika mguu, aliungwa kienyeji bila kwenda hosptali.
Japo sina uhakika sana huenda aliteguka tu, ila kwa maelezo yao wanasema alivunjika kabisa.
Dogo yuko vizuri hata kukimbia anakimbia japo mwanzo alikuwa hawezi hata kusimama.
Mkoa gani mkuu
 
Kuna jamaa mmoja yupo Tanga kule ni kiboko mpaka bombo walimtaka akakataa hilo tatizo dogo sana kwake.
 
Hao watu wanaotumia Dawa kuunga Mifupa wapo kila sehemu....!

Sema mkoa uliopo na watu watakusaidia!

Mm namjua mmoja ni Mkwe wangu huko Mwanza, ninayo mpaka Video yake namna akimsaidia Mtoto aliyevunjika mkono.

Sio Ushirikina, ni Tiba Mbadala halisi na inasaidia Watu kweli.
 
Comfrey ndio dawa unayotakiwa kuitafuta sijui utapata wapi Kwa sababu Mimi Niko South Africa na IPO.
Kazi zake ni kuunga mifupa na kutia nyama na kukausha vidonda na majeraha ya wazi
Ila,Angalizo kabla ya kuweka katika kidonda ni vema kuhakikisha kimeanza kupona kwani comfrey hufunga kidonda ndani ya muda mfupi.
Kama unapata majani yake yaponde na funga katika hiyo sehemu na bandage.
Kama unayo ktk mfumo wa kiminika tincture paka sehemu iliyovunjika au kidonda
 
Nenda au peleka mtoto hospitali I. Hayo ya kukunga mifupa Kwa miti inafanya mifupa isishikane vizuri. Mara nyingi wanaoungwa kienyeji viungo havinyooki.
 
Nipo Dar es salaam ndugu
.....waha wanasaidia sanaaaas....nina ushahidi waendesha boda wa 2 ndugu walikatika mfupa ...wakarudi Kasulu wamerudi wako fresh kabisaaa.....tafuta muha yeyore anakupa contact......ukishindwa njoo DM
 
Comfrey ndio dawa unayotakiwa kuitafuta sijui utapata wapi Kwa sababu Mimi Niko South Africa na IPO.
Kazi zake ni kuunga mifupa na kutia nyama na kukausha vidonda na majeraha ya wazi
Ila,Angalizo kabla ya kuweka katika kidonda ni vema kuhakikisha kimeanza kupona kwani comfrey hufunga kidonda ndani ya muda mfupi.
Kama unapata majani yake yaponde na funga katika hiyo sehemu na bandage.
Kama unayo ktk mfumo wa kiminika tincture paka sehemu iliyovunjika au kidonda
ok
 
mkuu but mifupa haijavunjika but mishipa ya fahamu ya mkono wa kulia ndio inashida ndo sababu hata mkono haufanyi chochote ila unahisia zote, hii confrey itasaidia pia? cas kuna ntu alishauri pia
Yap , itafanya kazi
Sema ongeza pia kunywa as tea capscum/cayenne pepper powder as blood thinner and circulation enhance
Make salve out of cayenne with castor oil Kwa ajili ya kuchua Hilo eneo
 
Back
Top Bottom