Naomba kujuzwa tiba asili ya kuunga mifupa iliyovunjika

Naomba kujuzwa tiba asili ya kuunga mifupa iliyovunjika

Izi huduma zipo japo kuna watakaohisi tofauti, kuna jamaa alipata ajali ya boda Dodoma, baada ya kuona hospital hakuna maendeleo alikuja rukwa ndani ya siku mbili Yuko fresh kama hajawah kupata ajali
 
Izi huduma zipo japo kuna watakaohisi tofauti, kuna jamaa alipata ajali ya boda Dodoma, baada ya kuona hospital hakuna maendeleo alikuja rukwa ndani ya siku mbili Yuko fresh kama hajawah kupata ajali
Mkuu toa connection na maelezo ya kutosha kuhusu huyo mtaalam maana daily tupo road.
Utasaidia wengi na Mungu atakubariki kwa mchango wako.
 
Cayenne pepper naweza ipata wap Kwa dar hapa,Ili nisije kupewa pilipili ya kulia maembe mabichi
Yap , itafanya kazi
Sema ongeza pia kunywa as tea capscum/cayenne pepper powder as blood thinner and circulation enhance
Make salve out of cayenne with castor oil Kwa ajili ya kuchua Hilo eneo
yy
 
Back
Top Bottom