Ubongo ni kitu kama uroto ambapo akili IMO humo , na akili inatunzwa na ubongo maana yake akili I ndani ya ubongo
Akili inachanganua ubongo hauchanganui
Akili inatengeneza hisia lakini ubongo unatunza hisia na kuzisambaza ktk mwili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.