Hello mambo zenu. Naomba kuuliza, ivi ukiwa kwenye mfumo wa kuomba ajira kwenye portal katika ku apply kazi, zile barua tunazotakiwa kuandika address ya muandikiwa tunaweka ipi? Mfano hapa unaomba ajira
Kwahyo address tunajaza ya muhimbili au wapi?
Nahitaji kujua katika hili.
Natanguliza Shukran asanten.
| EMPLOYER | Muhimbili Orthopaedic Institute (MOI) |
Kwahyo address tunajaza ya muhimbili au wapi?
Nahitaji kujua katika hili.
Natanguliza Shukran asanten.