Naomba kujuzwa ugumu uliopo katika kozi ya IT

Naomba kujuzwa ugumu uliopo katika kozi ya IT

Action and Reaction

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2021
Posts
1,438
Reaction score
1,496
Ndugu wanajamvi napenda kuuliza katika kozi ya IT hasa ngazi ya diploma ugumu upo maeneo gani, Mana dogo anatamani kujua kwani kashachaguliwa chuo fulani jijini Mbeya, So mliosoma hiyo kozi naomba mumsaidie na kumshauri mambo ya kuzingatia nami nitampa asome ushauri wenu!

Kwenu wanajamii.
 
Ndugu wanajamvi napenda kuuliza katika kozi ya IT hasa ngazi ya diploma ugumu upo maeneo gani, Mana dogo anatamani kujua kwani kashachaguliwa chuo fulani jijini Mbeya, So mliosoma hiyo kozi naomba mumsaidie na kumshauri mambo ya kuzingatia nami nitampa asome ushauri wenu!

Kwenu wanajamii.

Atajua mwenyewe akifika huko chuoni! Kila kitu kitaanza na moja huko, hapa huwezi kupata jibu! Ni sawa na kumwuliza mtu endapo JKT ni kugumu au la!
 
Back
Top Bottom