Naomba kujuzwa upatikanaji wa dagaa nyama wa Zanzibar

Naomba kujuzwa upatikanaji wa dagaa nyama wa Zanzibar

rommy shabby

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2017
Posts
1,123
Reaction score
1,302
1617953714970.png

Naomba kujua upatikanaji wa dagaa nyama
 
Mimi nipo Dar nauza hao dagaa wa nyama kutoka mafia nauza debe sh 55000 no yangu 0746527127
 
Hv ungekaa bila kukoment mkuu ungepungukiwa nini mbona wengine wamekomti vzr kila mtu anayeuliza jambo ina maana anasumbua watu! !!
Umeenda Tunduma na Mbeya wamekupiga swaga madalali wako unakuja kutusumbua hapa
 
Back
Top Bottom