cyrustheemperor
JF-Expert Member
- Mar 13, 2015
- 293
- 354
natafuta hee breed
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amekuwa ngombe au kwa ajili ya uzuri wake na manyoya??Achana na kuchi sasa , kuna huyu kuku anaitwa Brahma wanauzwa mmoja kwa 1.5mView attachment 1629710
Mbuzi anauzwa kuanzia sh70 mpk 200000kwasasa inategemea ukubwa na mahali ulipo40000/= amekuwa mbuzi acha kupotosha
Duh!Achana na kuchi sasa , kuna huyu kuku anaitwa Brahma wanauzwa mmoja kwa 1.5mView attachment 1629710
Wapi Leghorn chicks wanapatikana?Hawa hawafai kwa mayai, mayai fuga layers tu, hawa sana ni kwa nyama,
December 2021 nimeuza wangu alikuwa mmoja tu kwa 30,000/=40000/= amekuwa mbuzi acha kupotosha
Unawalisha chakula Cha kampuni gani na vip? Unachnganya na pumba au unawapa peke Cha dukaniKweli kabisa hata mimi nafuga kroiler wanaangusha mayai ni balaa
Kuku aina ya saso/sasu wanakuwa na maumbo makubwa utagaji wa mayai kwao ni hafifu sana wana uzito na hivyo wanafaa kwa biashara ya nyama unaweza uza Sasu mmoja hadi kwa 40,000tsh na mtu akakubali tu maana wana uzito mkubwa.
Sawa.Hahahaa huu uzi umenikumbusha 2016-2017 nilikuwa nafuga kuku aina ya sasso ndio walikuwa wameingia! hawa kuku sijawahi kuona nilifuga kuku 250 nami nililenga kupata mayai lakini yupo jamaa aliitwa ADAM NYAMANGE mkurugenzi wa mtandao wa kijani kibichi alinitembelea baada ya kuona kwenye mitandao nafuga kuku wakubwa sana alivyofika kuku wangu walikuwa na miezi 5 na walianza kutaga na utagaji wake sio MZURI sana huwa wanaruka Siku lakini wana maumbo makubwa sana! akaniambia kwa mayai hutafanikiwa weka nguvu kwenye kuwahudumia uuze nyama!!
Nilianza kutafuta masoko kuku walikuwa wakubwa sanaa tetea kg 4 nilikuwa na majogoo 2 wenye kilo 5.5 na kwa ladha sijawahi kula kuku watamu kiasi hicho!! kwa ukubwa wa wale kuku nilipata tenda bodi ya mikopo mwenge! na walinunua kuku mmoja sh 35000 mpaka 40000 jogoo wale wawili aliwanunua mzungu mmoja ambaye aliagiziwa kwangu akajitambulisha kuwa anashughulika na kuku wa sasso na chakula cha SILVERLAND alinunua mmoja 60000 na walipelekwa sabasaba!! nisiongope mradi ule niliufurahia kilichonikera nilipotaka vifaranga awamu nyingine sikupata tena baadae nikaona hawapatikani saso f1 nikahamia kwenye kuroiler!
Kuroiler mayai wanataga vizuri sana ila ladha na ukubwa hawajafikia kwa sasso,, hivi nilipumzika kwa kuku naanza mwaka huu!! Sasa niko kwenye nguruwe na mbuzi wa kisasa wa nyama!!
Ufugaji ukizingatia mbegu bora, chakula cha kutosha, mabanda rafiki, chanjo kwa wakati , research ya masoko ,kufuga kwa muendelezo yaani ujibrand haswaa kila wakati wateja wako wasikose bidhaa ufugaji unalipa ila uhamue haswaaa.
NdiyoHabari za majukumu wanajamvi
Hivi ukiwalisha sasso formula ya broiler kwa miez miwil ya mwanzo wanaweza kufika kg 2 ndani ya miez miwili
Sawasawa mkuu vp ndn ya mwez mmoja na nusu naweza anza na starter kisha growerNdiyo
Ndio mkuu tunahitaji hiyo elimu ili tuweze kufuga ufugaji wa kuku wenye tija kama nchi zilizoendelea sio kufuga kimazoea mathalani ufugaji wa kuku wa kienyeji binafs nauona kama ni ngumu kutengeneza faida kubwa kwani uzalishaji huchukua muda mrefu sana japo sisemi ufugaji wa kuku wa kienyeji ni mbaya hapana huo ni mtazamo wangu tuuzi mzuri, kuna elimu hapa