Naomba kujuzwa utaratibu wa kupata kazi hoteli za Zanzibar

Naomba kujuzwa utaratibu wa kupata kazi hoteli za Zanzibar

MR MONEY08

Member
Joined
Oct 21, 2022
Posts
62
Reaction score
30
Habarini wanajamvi ningeenda kujua, eti kupata kazi za hotelini Zanzibar lazima ujuane na kiongozi yeyote?

Je, kipindi cha low season kuna hotel ambazo hazifungwi? Ni zipi?
 
Back
Top Bottom