Naomba kujuzwa vitengo vilivyopo katika ofisi ya udhibiti ubora wa shule

Naomba kujuzwa vitengo vilivyopo katika ofisi ya udhibiti ubora wa shule

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Mwenye uelewa wa majukumu na vitengo ndani ya hizi ofisi za udhibiti ubora wa shule katika Wilaya.
 
Mwenye uelewa wa majukumu na vitengo ndani ya hizi ofisi za udhibiti ubora wa shule katika Wilaya.
Nyoosha maelezo ili usaidiwe. Mimi hapa ni Mdhibiti wa huo ubora mashuleni. Nina uzoefu mkubwa! Ningekusaidia. Unataka kuomba hiyo nafasi?

Ni kazi fulani ya kushinda tu ofisini kuanzia asubuhi mpaka jioni, huku mkitumia muda mwingi kupiga soga, kuperuzi kwenye mitandao, kusikiliza mziki na kucheza gemu.

Mara moja moja gari likiwa na mafuta ya kutosha, ndiyo huwa tunaenda kuwakagua walimu mashuleni.
 
Nyoosha maelezo ili usaidiwe. Mimi hapa ni Mdhibiti wa huo ubora mashuleni. Nina uzoefu mkubwa! Ningekusaidia. Unataka kuomba hiyo nafasi?

Ni kazi fulani ya kushinda tu ofisini kuanzia asubuhi mpaka jioni, huku mkitumia muda mwingi kupiga soga, kuperuzi kwenye mitandao, kusikiliza mziki na kucheza gemu.

Mara moja moja gari likiwa na mafuta ya kutosha, ndiyo huwa tunaenda kuwakagua walimu mashuleni.
Nilitaman kujua muundo wa kiutawala hapo OFISINI..boss anakuwa na cheo gani anaitwaje au ndo mdhibiti mkuu wa ubora wa elimu Wilaya??then chini yake Kuna vitengo gani hasa vya kiutendaji achana na hivi common tunavyovijua sote
 
Nyoosha maelezo ili usaidiwe. Mimi hapa ni Mdhibiti wa huo ubora mashuleni. Nina uzoefu mkubwa! Ningekusaidia. Unataka kuomba hiyo nafasi?

Ni kazi fulani ya kushinda tu ofisini kuanzia asubuhi mpaka jioni, huku mkitumia muda mwingi kupiga soga, kuperuzi kwenye mitandao, kusikiliza mziki na kucheza gemu.

Mara moja moja gari likiwa na mafuta ya kutosha, ndiyo huwa tunaenda kuwakagua walimu mashuleni.
Unaombaje hiyo nafasi
 
Nyoosha maelezo ili usaidiwe. Mimi hapa ni Mdhibiti wa huo ubora mashuleni. Nina uzoefu mkubwa! Ningekusaidia. Unataka kuomba hiyo nafasi?

Ni kazi fulani ya kushinda tu ofisini kuanzia asubuhi mpaka jioni, huku mkitumia muda mwingi kupiga soga, kuperuzi kwenye mitandao, kusikiliza mziki na kucheza gemu.

Mara moja moja gari likiwa na mafuta ya kutosha, ndiyo huwa tunaenda kuwakagua walimu mashuleni.
Mbona wadau hamnyoshi maelezo
 
Wanapewagwa oc ya shilingi laki 5 kila baada ya miezi miwili..hapo kuna gari mnunur mafuta,service, umeme,maji n.k ukitaka kufa njaa fanya kazi ofisi hizo
OC ya laki tano kila baada ya miezi miwili hii binafsi sikubaliani nayo
 
Back
Top Bottom