Naomba kujuzwa vitengo vilivyopo katika ofisi ya udhibiti ubora wa shule

Naomba kujuzwa vitengo vilivyopo katika ofisi ya udhibiti ubora wa shule

Nyie watu mlioajiriwa wapumbavu sana... Mnaoneana wivu na inaonekana hamjitambui hamna akili... Halafu nyie ni wasomi mavi mavi tu, mbona mnaandika kama mmeishia Std VII 😂😅 Serikal inakazi ngumu sana na waajiriwa wake...
 
Nyoosha maelezo ili usaidiwe. Mimi hapa ni Mdhibiti wa huo ubora mashuleni. Nina uzoefu mkubwa! Ningekusaidia. Unataka kuomba hiyo nafasi?

Ni kazi fulani ya kushinda tu ofisini kuanzia asubuhi mpaka jioni, huku mkitumia muda mwingi kupiga soga, kuperuzi kwenye mitandao, kusikiliza mziki na kucheza gemu.

Mara moja moja gari likiwa na mafuta ya kutosha, ndiyo huwa tunaenda kuwakagua walimu mashuleni.
Nisaidie nahitaji kuhamia huko.
 
Back
Top Bottom