mr.general JF-Expert Member Joined Jan 21, 2014 Posts 989 Reaction score 610 Dec 4, 2024 #1 Naomba kujuzwa wanapouza chaja za simu kwa bei ya jumla,kwa ajili ya biashara yangu. Nisaidieni kunijuzwa chimbo wanalouza charger za simu. Shukrani
Naomba kujuzwa wanapouza chaja za simu kwa bei ya jumla,kwa ajili ya biashara yangu. Nisaidieni kunijuzwa chimbo wanalouza charger za simu. Shukrani
A Anthony horowitz JF-Expert Member Joined May 4, 2024 Posts 421 Reaction score 1,042 Dec 4, 2024 #2 Kwa dar nenda kariakoo mkuu, na charger zina tofautiana. Tafuta mzoefu uende nae. Ila kama ni android, nunua USB za oraimo, Vichwa tafuta vyenye tundu 2
Kwa dar nenda kariakoo mkuu, na charger zina tofautiana. Tafuta mzoefu uende nae. Ila kama ni android, nunua USB za oraimo, Vichwa tafuta vyenye tundu 2
Kalaga Baho Nongwa JF-Expert Member Joined Sep 27, 2020 Posts 9,953 Reaction score 23,150 Dec 4, 2024 #3 mr.general said: Naomba kujuzwa wanapouza chaja za simu kwa bei ya jumla,kwa ajili ya biashara yangu. Nisaidieni kunijuzwa chimbo wanalouza charger za simu. Shukrani Click to expand... Ningekupa ila watu wa jf hamko siriaz kabisa. Katafute kariakoo
mr.general said: Naomba kujuzwa wanapouza chaja za simu kwa bei ya jumla,kwa ajili ya biashara yangu. Nisaidieni kunijuzwa chimbo wanalouza charger za simu. Shukrani Click to expand... Ningekupa ila watu wa jf hamko siriaz kabisa. Katafute kariakoo
Miss Natafuta JF-Expert Member Joined Sep 16, 2015 Posts 27,031 Reaction score 49,928 Jan 6, 2025 #4 Aisee nimeona late nicheki mkuu
Miss Natafuta JF-Expert Member Joined Sep 16, 2015 Posts 27,031 Reaction score 49,928 Jan 6, 2025 #5 Aisee nimeona late nicheki mkuu