Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Kweli, mimi naona amechanganya madesa.1km kwa 8liters! Hilo ni gari au ni kifaru cha jeshi?
Maana yake ni kwamba 100km inaficha 800ltrs ama pipa4?
Haiwezekani na hakuna gari la hivyo na si Tz tu, halipo duniani.
Awauzie masingasinga wakimbile kwenye mashindanoMkuu utarudisha japan au utafanyeje!?
Hizi gari huwa zinazishanga mno unakuta ni cc 1300 alafu ina gear 6 manual transmission aisee hiyo ni hatari Kwa mtu wa fujo barabaranNiliwahi kuandika humu khs hio mazda rx-8,ngoja ni-paste tena hapa.
Tribute to my mazda rx-8.
Nilikua na mazda rx-8 nikaipimp ikawa ya "kitozi"hatariiiii, balaa lake inakula engine oil si mchezo.
Ni cc 1300 tu,yangu ilikua ni manual 6 speed, horsepower inatoa 240,nilikua nikitembea road hakuna cha tezza sijui nini labda subaru baadhi ndo zilikua zinanisumbua tena mostly STI WRX.
Barabarani ina balance balaa(weight distribution) ni 50% kwa 50%(wenye uelewa wa magari wataelewa hii).
Consumption yake ni lita 1 kwa km 6-8 wkt ni cc 1300 tu, kutegemeana na uendeshaji wangu,hahah.
Ikifika km 100,000 engine overhauling inaweza kuhusika,niliiuza ikiwa na km 75,000 kwa mhindi lkn mpk sasa iko barabarani na zaidi ya km 100,000 na inadunda bila matatizo yoyote yale.
So kwenye rotary engine haitakiwi gari asubuh kuiwasha na kuondoka hapohapo unaiacha kwanza inachemka then ndo unaondoka na ukija kuipaki usiizime pia hapohapo. Na ili idumu atleast kila siku lazima uhakikashe gari inakimbizwa(rev)mpk mshale ufike kwenye redline, kwangu ilikua ni rpm 9000 ukifanya hivyo inadumu
Next challenge nataka 1997 Manual mazda rx-7(Najua matatizo ya hio gari lkn ndo hivyo tena naitaka hivyo hivyo)
I'll miss u my mazda rx-8.
TATIZO lipo Kwa watu wa IST unakuta muda wote wanahangaika Tu barabaran ndiyo maana jamaa kaona Bora awakomeshe na Mazda Rx-8Mnataka Gari zenye speed ili mkamkimbize nani?
Hahah vijana wa- ST wana-jimwambafai acha wanyooshwe vzr mkuu.TATIZO lipo Kwa watu wa IST unakuta muda wote wanahangaika Tu barabaran ndiyo maana jamaa kaona Bora awakomeshe na Mazda Rx-8
Ninayo changamoto ni mafund na spearView attachment 1243344Hapana boss....1km per 8 ltrs.? hata train haili mafuta kiasi hicho..
Niambie 8 km per 1 ltr nitawaelewa....
Hata Mimi huwa nawaza Sana kuhusu hilo Bora ununue kitu roho inapenda kuliko kutishwa na watu kuhusu spare na ulaji waafuta..Brother, kama una hela na una uhakika wa kuagiza spea, na huna mpango wa kuiuza, nunua kitu roho inapenda....
Ila kama pochi imekonda, baki tu huku kwenye common cars za Toyota ambazo utafikiri tulilogwa nazo...
Kuna magari yana ladha tamu sana.....basi watu wenye IST zao wanakuja kuwatisha watu....Hata Mimi huwa nawaza Sana kuhusu hilo Bora ununue kitu roho inapenda kuliko kutishwa na watu kuhusu spare na ulaji waafuta..
Sometimes unakuta mtu anauliza kuhusu ulaji wa mafuta Kwa gari za cc 1490 kitu ambacho kawaida hiyo gari ni economy.
Huku mtaani kuna watu ni professional wa kutisha wenzio kuhusu Magari na spare parts
Hayo ni mateso sasa ili idumu mpaka mahale wa speed usome kwenye red! Duh tutakufa na speed sasaNiliwahi kuandika humu khs hio mazda rx-8,ngoja ni-paste tena hapa.
Tribute to my mazda rx-8.
Nilikua na mazda rx-8 nikaipimp ikawa ya "kitozi"hatariiiii, balaa lake inakula engine oil si mchezo.
Ni cc 1300 tu,yangu ilikua ni manual 6 speed, horsepower inatoa 240,nilikua nikitembea road hakuna cha tezza sijui nini labda subaru baadhi ndo zilikua zinanisumbua tena mostly STI WRX.
Barabarani ina balance balaa(weight distribution) ni 50% kwa 50%(wenye uelewa wa magari wataelewa hii).
Consumption yake ni lita 1 kwa km 6-8 wkt ni cc 1300 tu, kutegemeana na uendeshaji wangu,hahah.
Ikifika km 100,000 engine overhauling inaweza kuhusika,niliiuza ikiwa na km 75,000 kwa mhindi lkn mpk sasa iko barabarani na zaidi ya km 100,000 na inadunda bila matatizo yoyote yale.
So kwenye rotary engine haitakiwi gari asubuh kuiwasha na kuondoka hapohapo unaiacha kwanza inachemka then ndo unaondoka na ukija kuipaki usiizime pia hapohapo. Na ili idumu atleast kila siku lazima uhakikashe gari inakimbizwa(rev)mpk mshale ufike kwenye redline, kwangu ilikua ni rpm 9000 ukifanya hivyo inadumu
Next challenge nataka 1997 Manual mazda rx-7(Najua matatizo ya hio gari lkn ndo hivyo tena naitaka hivyo hivyo)
I'll miss u my mazda rx-8.
Hahaha asante mkuu mungu yupo usijali na wewe utavuta chombo yako siku...hii gari aisee sikujua kama itakuwa na ugumu namna hii ila sio mbaya ntaishi nayo tuKwanza hongera kwa kuvuta chombo ilhali sisi wengine san-lg tu zinatuoa shida.
Niliwahi kuona uzi wakizongelea hizo gari na changamoto yake ya engine, kiukweli inakatisha tamaa., pia niliwahi pia mtaa mmoja kariakoo nikakuta kama 4 hivi zimepark zimekufa nikaanza kuamini ya huo uzi.
Cha msingi matunzo tu, zingatia matunzo na service kama dozi ya ARV
Hahaha hiki ni chombo cha usafiri sio gari mkuu..yaani nimenunua Toyota mpaka nijipongeze na Kvant je siku nikinunua gari si Hennesey itahusika jaman😂😂Mkuu, kwanza kilicho nileta hapa ni kukupongeza kwa kumiliki mkoko in town.
Na kwakuwa sina la kukushauri, basi ebu agiza whatever-Vant kubwa ili ujipongeze na kisha lipia mwenyewe alafu bas....
Kweli aisee nimekosea kuandika...ni kilometa 6 hadi nane kwa lita moja1km kwa 8liters! Hilo ni gari au ni kifaru cha jeshi?
Maana yake ni kwamba 100km inaficha 800ltrs ama pipa4?
Haiwezekani na hakuna gari la hivyo na si Tz tu, halipo duniani.
Hahah sawa nilitaka nibadilishe ladha tu Toyota nimezitumia tangu nianze kujitegemea mwenyewe..nimeona kulikk kubaki kwenye Toyota tu always bora nibadili ladha ofcourse namiliki Toyota pia ila nataka pia niwe na hiyo MazdaBrother, kama una hela na una uhakika wa kuagiza spea, na huna mpango wa kuiuza, nunua kitu roho inapenda....
Ila kama pochi imekonda, baki tu huku kwenye common cars za Toyota ambazo utafikiri tulilogwa nazo...
Hongera sana mimi yangu ndanibya week hii ntakuwa nayoNinayo changamoto ni mafund na spearView attachment 1243344View attachment 1243345
Mkuu ebu naomba nikusamehe..Hahaha hiki ni chombo cha usafiri sio gari mkuu..yaani nimenunua Toyota mpaka nijipongeze na Kvant je siku nikinunua gari si Hennesey itahusika jaman[emoji23][emoji23]