Naomba kujuzwa zaidi kuhusu mashine ndogo ya kupasua kokoto

Naomba kujuzwa zaidi kuhusu mashine ndogo ya kupasua kokoto

Stone killer

Senior Member
Joined
Mar 21, 2023
Posts
101
Reaction score
192
Habari wanajamvi,

Samahani naomba kujua kuhusu mashine ya kupasua kokoto, namna inavyofanya kazi, uwezo na bei yake, yeyote mwenye kujua tafadhali msaada Huwa naiwaza sana hii kitu
 
Back
Top Bottom