Hammer11
JF-Expert Member
- Feb 18, 2024
- 1,518
- 2,174
Wakuu mimi nikijana mpambanaji kiukweli mm ni Mtanzania halisi kabisa.
Kwa sasa niko huku 🇰🇪 Kenya ila maisha haya kwa Ruto sijaridhika wazee mm kwa haraka nimefikiria Botswana 🇧🇼
Kwa sababu ni nchi ya ndoto yangu huwa naipenda nimepanga januari nipite kwa mama niende mpaka Zambia and then niingie Botswana wanajua hii nchi nasoma maoni yenu ni hiloo wakuu poleni kwa usumbufu ni kujifunza tuu
Kwa sasa niko huku 🇰🇪 Kenya ila maisha haya kwa Ruto sijaridhika wazee mm kwa haraka nimefikiria Botswana 🇧🇼
Kwa sababu ni nchi ya ndoto yangu huwa naipenda nimepanga januari nipite kwa mama niende mpaka Zambia and then niingie Botswana wanajua hii nchi nasoma maoni yenu ni hiloo wakuu poleni kwa usumbufu ni kujifunza tuu