Naomba kujuzwa

Kiluuj

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2015
Posts
692
Reaction score
277
Hivi ni msanii yupi Wa bongo tunayeweza kusema ameweka maisha yake ya usanii(kazi) mbali na maisha yake ya familia(mapenzi).Licha na kwamba ni maarufu , wameoa watu maarufu wanaishi private life away from media attention.

Majirani wetu Uganda na Kenya wapo wengi.
Mfano;
Chameleon,
Nameless/Wahu
Juakali,
Wyre
Nazizi...... etc

Je, Bongo wapo ama ni maigizo?
 
Swali kama hili kuna haja ya kuuliza au ni mtazamo wapo weng Kama afande sele,prf j,
 
Kunguru háfugiki...!!

Wenziwe km faraja wanamantain status yao Ila yy kaaahh!

Kukosa kua na mengi yule angerudi na drama zake enzi za kina Kinje
Umeona ehh u madam unaanza mshinda yaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…