Kiluuj
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 692
- 277
Hivi ni msanii yupi Wa bongo tunayeweza kusema ameweka maisha yake ya usanii(kazi) mbali na maisha yake ya familia(mapenzi).Licha na kwamba ni maarufu , wameoa watu maarufu wanaishi private life away from media attention.
Majirani wetu Uganda na Kenya wapo wengi.
Mfano;
Chameleon,
Nameless/Wahu
Juakali,
Wyre
Nazizi...... etc
Je, Bongo wapo ama ni maigizo?
Majirani wetu Uganda na Kenya wapo wengi.
Mfano;
Chameleon,
Nameless/Wahu
Juakali,
Wyre
Nazizi...... etc
Je, Bongo wapo ama ni maigizo?