Naomba kujuzwa

Naomba kujuzwa

kumbuka kujitambua wewe mwenyewe kwanza, yaani ufahamu haswa personality yako,kwa maana hapo utaona vile vinavyokufanya wewe uonekane wewe. halafu sasa uangalie anaikubali vipi hiyo, especially when your personality is against his
point taken..........thanx mnoo
 
hapa inabidi nishtuke...manake nimezingoja hizi salamu za Hus hadi nimechoka ...humu ndani HUSSY kaambiwa kuwa ziimefika......kumbe mimi ni mshika mapembe...lol!!!! manake sijapokea salamu yoyote ati
ndio nilikua njiani on ma way to ur place honey..............sorry umeona text ya husninyo kabla mm cjakufikishia ..........
na jua cpendi unavojiita mshka mapembe ujue
 
mpenz wako anatakiwa akufanyie nn ili ujue kweli anakupenda sana na kila neno analosema juu yako kweli lamtoka moyoni.......msinishushue naitaji tu kujua ..natanguliza shukurani zangu za dhati kwa maoni yako utakayotoa ......thanx mooo.View attachment 39945

Mi akinipa tiGo naaamini kabisa kabisa ana mapenzi ya dhati vinginevyo ananiibia tu penzi
 
Mi akinipa tiGo naaamini kabisa kabisa ana mapenzi ya dhati vinginevyo ananiibia tu penzi
huku simo kabsaaaaaaaaa..........................na ww SI umelike nn hapo sema mapema kama ndio zako nikupige chini fasta kabla hujaniliza loh!
 
huku simo kabsaaaaaaaaa..........................na ww SI umelike nn hapo sema mapema kama ndio zako nikupige chini fasta kabla hujaniliza loh!

We kwani umeuliza nn? pata kitu roho inapenda bana
 
Gals, asilani huwezi jua mwenzio kama anakupenda, anakupenda sana na anakupenda kutoka uvunguni mwa moyo wake.

Kumbuka kuna mstari mwembamba sana baina ya upendo, penzi, matamanio na mvuto.

Be yourself and play your part (tenda wema nenda zako usingoje shukrani).
 
umesema vema asante.

Gals, asilani huwezi jua mwenzio kama anakupenda, anakupenda sana na anakupenda kutoka uvunguni mwa moyo wake.

Kumbuka kuna mstari mwembamba sana baina ya upendo, penzi, matamanio na mvuto.

Be yourself and play your part (tenda wema nenda zako usingoje shukrani).
 
Back
Top Bottom