wangwana naomba kufahamu faida na hasara kati ya coz za mining na coz za business and economics na tofauti zake katika suala la kujiajiri au kuajiliwa kama una uzoefu kati ya hizi taaluma hapo juu naomba ushauri wako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.