sunshine1
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 539
- 291
Habari wana JF,
Naomba kuelimishwa hasa kwa wale ambao ni wanasheria je ni taratibu gani zinapaswa kufwatwa ili kumshitaki kiongozi katika mahakama ya kimataifa ya The Hague? Je ni nani mwenye mamlaka au haki yakumshtaki kiongozi kwenye mahakama hii? Napenda kuelemishwa naamini wapo wengine pia watakaofaidika kutokana na michango yetu katika post hii.
Karibuni!
Naomba kuelimishwa hasa kwa wale ambao ni wanasheria je ni taratibu gani zinapaswa kufwatwa ili kumshitaki kiongozi katika mahakama ya kimataifa ya The Hague? Je ni nani mwenye mamlaka au haki yakumshtaki kiongozi kwenye mahakama hii? Napenda kuelemishwa naamini wapo wengine pia watakaofaidika kutokana na michango yetu katika post hii.
Karibuni!