Naomba kulekezwa kwa mtaalamu wa kienyeji

Naomba kulekezwa kwa mtaalamu wa kienyeji

Joined
Jan 25, 2019
Posts
49
Reaction score
60
Habari wakuu, ehee niko apa tena kuomba msaada kwa ajili ya mwili wangu. Nahitaji mganga mchawi kwa ajili ya kunitolea uchawi mwilini, maana nikifanya dawa inafanya mwanzo halafu inafifia, tiba zote nafanyiwa adi kupandisha na nyota, kuaguliwa na kusunzwa kwa dawa, nikitoka hapo niko fresh, lakini baada ya muda inafifia. Kwa anaejua mganga mchawi ambaye yuko vizuri kwa kutoa uchawi na vifungo mwilini na pia kwa gharama nzuri. Ikiwezekana iwe maeneo ya Pemba, tanzania(mwanza) au pwani-kenya(kilifi, mombasa au ata lamu )

Asante kwa atakaenitolea wazo la kunisaidia.
 
DON'T AND NEVER TRY TO WASTE YOUR MONEY ON SUPERSTITION OR ON WITCHDOCTOR ,,

WHY [emoji780]

WAPO KWA AJILI YA ULAJI TYU ...
 
Back
Top Bottom