Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
NaamOhoooo!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NaamOhoooo!!!
Rufaa inaruhusiwa ila ikifika mahakama ya rufani na bado mkawekwa hatiani ndio imekulaDooh so ni mpaka kifo? Hv si wanaweza kukata rufaa?
Wajaribu hiyo option. Hawana Cha kupoteza kwa sasaRufaa inaruhusiwa ila ikifika mahakama ya rufani na bado mkawekwa hatiani ndio imekula
Imejibu aisee maisha jelaSi huyu ndio yule mke wa yule jamaa wa ile biashara ile!
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums wireless internet
hawa wa ki-bongo elimu hamna na hawajibidishi Zaid ya kushabikia mbogamboga kwa ujira wa kuimba misibaniAisee. Motivation speaker Wana fakeSana life
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Si huyu ndio yule mke wa yule jamaa wa ile biashara ile!
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums wireless internet
Huyu jaji Elineza Luvanda mara ya kwanza kumuona ilikuwa miaka ya 2011-2013 wakati huko alikuwa ni hakimu mkuu wa mahaka ya wilaya Dodoma.Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi (Mahakama ya Mafisadi), imewahukumu kifungo cha maisha Mafanyabiashara Abdu Nsembo na Mkewe Shamim Mwacha baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya kujihusisha na dawa za Kulevya aina ya Heroin .
Pia mahakama hiyo imetoa amri ya kutaifisha mali za Wahukumiwa ikiwemo gari aina ya Discover 4 ili liwe mali za Serikali, huku dawa hizo zikitakiwa kuteketezwa.
Hukumu ya kesi hiyo namba 4 ya mwaka 2020, imetolewa Jaji Elinaza Luvanda baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili kati ya Jamhuri na Utetezi na kujiridhisha kwamba Watuhumiwa wamekutwa na hatiani katika makosa mawili ya usafirishaji dawa za Kulevya.
Wawili hao walishtakiwa baada ya kudaiwa Mei Mosi, 2019 wakiwa eneo la Mbezi Beach, Wilaya ya Kinondoni, jijini DSM kinyume na sheria ya uhujumu uchumi walikutwa na dawa hizo.
#MillardAyoMAHAKAMANI
Rest simuelewi asee[emoji848][emoji848]Leo kala mvua za miaka yotee!wenzao kina rest wamepumzika na upendo mwalongo!
[emoji16][emoji16][emoji16]Bongo mdada akiwa ana kasura kazuri tu bhaaasi anavimba kichwa hata kukomaa na life hatak tena.
Huyo ni noma[emoji848]Huyu jaji Elineza Luvanda mara ya kwanza kumuona ilikuwa miaka ya 2011-2013 wakati huko alikuwa ni hakimu mkuu wa mahaka ya wilaya Dodoma.
Kuna jamaa yangu alikuwa anakesi ya wizi alinunua lori la cement ya wizi, sasa yule jamaa yangu akapata washauri wakamshauri aende akamhonge hakimu Luvanda. Hakimu Luvanda alikataa kuchukua rushwa na akamwambia yeye ni mlokole ali rushwa, akamshauri apambane na kesi yake na yeye kama hakimu atatoa haki kulingana na ushahidi. Yule jamaa yangu alishinda ile kesi kwani Jamhuri aikupeleka mashahidi muhimu.
Pointi yangu ni kwamba huyo Mh. Luvanda hapokei rushwa na huwa anasimama kwenye haki.
Kwanini mkuu?Rest simuelewi asee[emoji848][emoji848]
Yap!
Mmh ana bata za kufa mtu...chanzo anauza kitomoto[emoji848]
Naskia yule mtoto wake mkubwa wa kike baba yake ni tajiri..alimwachia mapesa na bonge ya nyumba..nyumba ambayo WCB wana ofisi. Ni ya mtoto resty..nadhani anapata pesa hapo.Mmh ana bata za kufa mtu...chanzo anauza kitomoto[emoji848]
Umeelewa mada?Naskia yule mtoto wake mkubwa wa kike baba yake ni tajiri..alimwachia mapesa na bonge ya nyumba..nyumba ambayo WCB wana ofisi. Ni ya mtoto resty..nadhani anapata pesa hapo.
Sina uhakika lkn na mimi naskia tu
Njoo tule bia hapa 5N mizigo Kama Kenya. Namsubir mamsapu kafuata pumba Tandale mashineni, tulianzishe KeregeYap!