Naomba kumfahamu vizuri Shaaban Robert

Naomba kumfahamu vizuri Shaaban Robert

eze malongo

Member
Joined
Jun 29, 2023
Posts
5
Reaction score
3
Ndugu zangu hivi history ya mwandishi nguli hapa Tanzania Shaaban Robert imehifadhiwa wapi?

Nimesikia alifanya makubwa sana katika sekta ya Lugha lakini watu hawamuenzi ipasavyo, tasnia ya lugha hamzungumzii kwa lolote licha ya vitabu vyake kufanya vizuri A level secondary lakini ni kama hatambuliki na vizazi vya sasa.

Pia anayefahamu vizuri kuhusu yeye anijuze kuwa ni raia wa wapi, amezikwa wapi, halafu majina yake mbona ni kislamu na kikristo?
 
Ndugu zangu hivi history ya mwandishi nguli hapa Tanzania Shaaban Robert imehifadhiwa wapi?

Nimesikia alifanya makubwa sana katika sekta ya Lugha lakini watu hawamuenzi ipasavyo, tasnia ya lugha hamzungumzii kwa lolote licha ya vitabu vyake kufanya vizuri A level secondary lakini ni kama hatambuliki na vizazi vya sasa.

Pia anayefahamu vizuri kuhusu yeye anijuze kuwa ni raia wa wapi, amezikwa wapi, halafu majina yake mbona ni kislamu na kikristo?
tafuta kitabu chake '' Maisha yangu na baada ya miaka 50''
 
Ndugu zangu hivi history ya mwandishi nguli hapa Tanzania Shaaban Robert imehifadhiwa wapi?

Nimesikia alifanya makubwa sana katika sekta ya Lugha lakini watu hawamuenzi ipasavyo, tasnia ya lugha hamzungumzii kwa lolote licha ya vitabu vyake kufanya vizuri A level secondary lakini ni kama hatambuliki na vizazi vya sasa.

Pia anayefahamu vizuri kuhusu yeye anijuze kuwa ni raia wa wapi, amezikwa wapi, halafu majina yake mbona ni kislamu na kikristo?
Kama ni swala tano Ustadhi said mohamed atamzungumzia
 
Back
Top Bottom