Naomba kumjua huyu mlimbwende

Tatizo wa hivi huwa ni kwa show tu ila mapenzi huwa hawajui kabisaaa ni sawa na yale mabaunsa yenye six pack kumbe kitandani hoi na mengine hayana marinda!
 
Huyu demu amechanganya damu ana asili ya kinyarwanda kwao forest mpya mbeya namfaam vzuri coz nmesoma nae o level na advance sangu high school mbeya zamani Hakka na mshepu huo hapo nna uhakika ka ji boost parefu sana pia ni mtoto wa mchungaji zamani alikua descent sana saiv kageuka kua slay queen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…