Naomba kumjua huyu mlimbwende

Ndio ni MTz huyo..nyakyusa moja

Anaitwa Poshyqueen..real name jackline

Kitambo sana uyu dem,enzi za kwa mujibu mwaka 2014 [emoji3]


What the fu.ck? Hivi kuna wanyakyusa wazuri duniani kweli....tuache utani, ebu tuambizane ukweli, huyu ni mnyakyusa kweli huyu?
 
What the ****? Hivi kuna wanyakyusa wazuri duniani kweli....tuache utani, ebu tuambizane ukweli, huyu ni mnyakyusa kweli huyu?
Mkuu huyo mtoto mbna wa kawaida...au umedata na hilo shepu [emoji3][emoji3]

Sema hakua hivo mwanzo
 
Sasa mkuu tembea uone...yani umejifungia geto unasema hakuna wanyakyusa wazuri? [emoji3]


Nilisoma Iyunga Sec School pale Mbeya, yaani nilikuwa nalia kila nikienda mjini kwa sababu sikuwahi onana na mwanamke mzuri hata siku moja. Wanawake wazuri walikuwa walimu wetu tu na wageni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…