Kidawa_hiphop
Senior Member
- Jul 7, 2018
- 184
- 274
Clouds wana watangazaji wenyeafudhi nzuri sana huyo anaweza kua Mahija Zayumba...
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Dhaaaa Yule jamaa Yuko njema sanaMwingine kwa sauti ya matangazo ni Phillip Mwihava.
Mimi ni mtozi na mwanagenzi Philip Mwihava..akiwa na Oni Sigala huwa wanakosha sana.Mwingine kwa sauti ya matangazo ni Phillip Mwihava.
Mimi ni mtozi na mwanagenzi Philip Mwihava..akiwa na Oni Sigala huwa wanakosha sana.
Atakuha yuhule blaza Kapiga uyoKuna sauti ya kike huwa inasoma Classfieds(mfano yale matangazo ya vyuo na shule) pale Cloudsfm kwa ubora wa juu kabisa, matamshi mazuri+sauti nzuri corporate.
Nadhani hakuna msoma classfieds anayemfikia kwa sasa. Please naomba jina lake kwa wanaomjua