Naomba kumjua vizuri Barbara Hassan

Naomba kumjua vizuri Barbara Hassan

vampire_hunter007

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2015
Posts
1,034
Reaction score
2,624
Habari wadau,

Wale wanaume wa mikoani mkae mbali na huuu uzi.............Maanake nyie ndo mnasema Elimu bure ni kitanda kilichotandikwa kuongea maongezi ya kawaida......Sasa mi nawaambia msichafue maneno mnayoelekezwa..........

Okay in short ni kuwa nataka kumjua kwa uzuri huyu dada wa kuitwa Barbara Hassan.....Mi napenda sana utangazaji wake...Anaonekana kama mtu mmoja matawi ya kuleeeeee af pia kama vile shule imekaa sawa...

Kikubwa zaidi kilichonivutia ni maongezi yake anaonesha ana pesa sana huyu dada...Kuanzia alipojitolea mil 1 kwa yule dada aliyeparalyse...Leo nimemsikia anasema alimnunulia rafki yake zawadi ya gauni la harusi mil 1...Mara aelezee kuna kipindi alikuwa mauritius au Uk....In short anaonekana si mtu wa kawaida...

Hivi kuna la ziada au ni utangazajo tu wa clouds ndo unalipa sana?...Pia mwenye CV yake naomba atuwekee hapa tafadhali
 
Habari wadau,

Wale wanaume wa mikoani mkae mbali na huuu uzi.............Maanake nyie ndo mnasema Elimu bure ni kitanda kilichotandikwa kuongea maongezi ya kawaida......Sasa mi nawaambia msichafue maneno mnayoelekezwa..........

Okay in short ni kuwa nataka kumjua kwa uzuri huyu dada wa kuitwa Barbara Hassan.....Mi napenda sana utangazaji wake...Anaonekana kama mtu mmoja matawi ya kuleeeeee af pia kama vile shule imekaa sawa...

Kikubwa zaidi kilichonivutia ni maongezi yake anaonesha ana pesa sana huyu dada...Kuanzia alipojitolea mil 1 kwa yule dada aliyeparalyse...Leo nimemsikia anasema alimnunulia rafki yake zawadi ya gauni la harusi mil 1...Mara aelezee kuna kipindi alikuwa mauritius au Uk....In short anaonekana si mtu wa kawaida...

Hivi kuna la ziada au ni utangazajo tu wa clouds ndo unalipa sana?...Pia mwenye CV yake naomba atuwekee hapa tafadhali
hahahaa. kuna uzi humu ulishamtaja...unaitwa 'heko barbar hassan'

clouds+fm1.jpg


babra+swagg.JPG
 
Anachonishangaza Barbara Hassan ni kutia mbwembwe kwenye matamshi ya Kiingereza hadi anakosea. Mfano Cannabis.
 
Kipindi cha nyuma sana wakati Clouds haijabadilisha vipidi vyote kuwa vya kiswahili, alikuwa na kipindi chake cha Kiingereza kila J'mosi, ni mzungumzaji mzuri wa lugha hiyo.
Ni mzuri ndio lakini aache mbwembwe anaharibu.
 
Habari wadau,

Wale wanaume wa mikoani mkae mbali na huuu uzi.............Maanake nyie ndo mnasema Elimu bure ni kitanda kilichotandikwa kuongea maongezi ya kawaida......Sasa mi nawaambia msichafue maneno mnayoelekezwa..........

Okay in short ni kuwa nataka kumjua kwa uzuri huyu dada wa kuitwa Barbara Hassan.....Mi napenda sana utangazaji wake...Anaonekana kama mtu mmoja matawi ya kuleeeeee af pia kama vile shule imekaa sawa...

Kikubwa zaidi kilichonivutia ni maongezi yake anaonesha ana pesa sana huyu dada...Kuanzia alipojitolea mil 1 kwa yule dada aliyeparalyse...Leo nimemsikia anasema alimnunulia rafki yake zawadi ya gauni la harusi mil 1...Mara aelezee kuna kipindi alikuwa mauritius au Uk....In short anaonekana si mtu wa kawaida...

Hivi kuna la ziada au ni utangazajo tu wa clouds ndo unalipa sana?...Pia mwenye CV yake naomba atuwekee hapa tafadhali

Kaka usije muharibia mwenzio, watu wanaweza mwaga habari zake hapa na ikaja kuonekana kumbe sio raia wa Tanzania na anafanya kazi bila vibali ikawa balaa
 
Habari wadau,

Wale wanaume wa mikoani mkae mbali na huuu uzi.............Maanake nyie ndo mnasema Elimu bure ni kitanda kilichotandikwa kuongea maongezi ya kawaida......Sasa mi nawaambia msichafue maneno mnayoelekezwa..........

Okay in short ni kuwa nataka kumjua kwa uzuri huyu dada wa kuitwa Barbara Hassan.....Mi napenda sana utangazaji wake...Anaonekana kama mtu mmoja matawi ya kuleeeeee af pia kama vile shule imekaa sawa...

Kikubwa zaidi kilichonivutia ni maongezi yake anaonesha ana pesa sana huyu dada...Kuanzia alipojitolea mil 1 kwa yule dada aliyeparalyse...Leo nimemsikia anasema alimnunulia rafki yake zawadi ya gauni la harusi mil 1...Mara aelezee kuna kipindi alikuwa mauritius au Uk....In short anaonekana si mtu wa kawaida...

Hivi kuna la ziada au ni utangazajo tu wa clouds ndo unalipa sana?...Pia mwenye CV yake naomba atuwekee hapa tafadhali

Picha yake tafadhali . Na nimtangazaji wa nini? Radio or Tv
 
Wasiliana na Le Mutuz Nation King of all social media atakupa undani wa huyo mbeibezi!
 
Ana sauti ya kumtoa nyoka pangoni (vijana wa zamani wanaelewa) ....ni mrembo (kama unaona tofauti ni wewe) ....anajiheshimu na kuishi kistaa bila kujidhalilisha kutafuta attention. Ni mtu wa old skool sana ...binafsi namzimia ile mbaya.
 
Back
Top Bottom