ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,640
- 22,748
Si kweli....nahisi hata kipindi husikiliziEFm walugha lugha kibao..si unaona B12 kadorora
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kweli....nahisi hata kipindi husikiliziEFm walugha lugha kibao..si unaona B12 kadorora
😀😁😂🤣😃😄😅😄😃🤣😂😁😅😄Watangazaji wengi wenye sauti nzuri muonekano[emoji41] [emoji41] [emoji41] cc mamybayb
Prime B12 wa XXL sio huyu..Chemistry pia na Jonijoo bado.Si kweli....nahisi hata kipindi husikilizi
Kwanza inaandikwa Barbara ila nadhani inatamkwa Babra.Kwanza anaitwa Babra Hassan sio Barbara.
Kwa mtazamo wangu kwa muda ambao nimekuwa namsikiliza napata picha ya mtu anayejali sana tabaka fulani la Watu na kupuuza jamii ya watu wa chini a.k.a Watu wa kawaida....ukisikia reference zake nyingi zinatia ukakasi....binafsi sivutiwi saaana na ujivuni wa hivyo....ana mengi ya kujifunza kutoka kwa kina Masood.....B twelve, Dahuu.
Kuhusu elimu...inategemea na mtazamo wako kwani kwa Wabongo Mtu ukijua kuongea kiingereza tu basi, utaonekana una hadhi ya kupelekwa USA ukarushe Rocket....ila kwa muda ambao nimekuwa namsikiliza namuona ni fundi wa kujibu maswali kama 'baby shower ni nini?' nje ya hapo ukamuuliza swali technical kidogo basi uwe na namba za flying doctors....coz atazima papo hapo.
Ana sauti ya kumtoa nyoka pangoni (vijana wa zamani wanaelewa) ....ni mrembo (kama unaona tofauti ni wewe) ....anajiheshimu na kuishi kistaa bila kujidhalilisha kutafuta attention. Ni mtu wa old skool sana ...binafsi namzimia ile mbaya.
Yeye ni anchor..haitaji kujua mambo kibao..acha ushamba. Hakuna Morning show anchor anayeweza kumzidi BarbaraHuyo n Babura sio Babra in short atishi kwalolote Ila n mtu anaejua kupangilia mipango yake Kama unapenda mpira mfananishe na chicharito yule mmexico aliekuwa man u Babura anajua tuu kuongea maneno ya mjini na kutaja vitu vya gharama anatumia muda mwingi kutafuta taarifa na kuunga connection za watu wenye pesa ukija kwenye Mambo ya muhimu n buree kabisa.
Muulize kuhusu mchana ukimpa laki akale atarudisha sh ngap, au Jana alitumia sh ngap au aliwasiliana na Nani usiku muulize jina la chakula Cha gharama atakwambia. Ila muulize kwann wakandarasi wa SGR kutoka China wameshindwa kuja na Dawa ya Corona utakimbia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We n mj.... Ingekuwa una akili ingekuwa umeelewa Ila ujuaji na mapenzi binafsi unakusumbua hakuna shoobya asubuh iliobamba Kama ya Fina, Gerald na masoud na hakuna mtangazaji wa like mbunifu Tanzania Kama salama j na hakuna kipindi Bora Cha redio kikichovutia Kama Friday 9t live ya sebo baadae sebo na salama pia hakuna kipindi kikichobamba zaidi machoni kwa watu Kamaze comedy Yakina joti, city sound na city sound 2 balloon Cha seki kikifuatiwa na plannet bongo ya salama J na hakuna igizo Bomba Kama la maisha jumamosi enzi za itv n itv kikifuatiwa na kidedea jumapiki huku jumatatu mtoto atumwi dukani kwa Mambo hayo wakimsubiri joti na mpoki wa enzizile bia kusahau bishanga na saga la ndugu na mke usisahu ucheshi wa zembela na maksi enzi zile.Yeye ni anchor..haitaji kujua mambo kibao..acha ushamba. Hakuna Morning show anchor anayeweza kumzidi Barbara
Kazi ya kujua mambo mengi ni ya kina Kipanya na Cza
Ni full packageHabari wadau,
Wale wanaume wa mikoani mkae mbali na huuu uzi.............Maanake nyie ndo mnasema Elimu bure ni kitanda kilichotandikwa kuongea maongezi ya kawaida......Sasa mi nawaambia msichafue maneno mnayoelekezwa..........
Okay in short ni kuwa nataka kumjua kwa uzuri huyu dada wa kuitwa Barbara Hassan.....Mi napenda sana utangazaji wake...Anaonekana kama mtu mmoja matawi ya kuleeeeee af pia kama vile shule imekaa sawa...
Kikubwa zaidi kilichonivutia ni maongezi yake anaonesha ana pesa sana huyu dada...Kuanzia alipojitolea mil 1 kwa yule dada aliyeparalyse...Leo nimemsikia anasema alimnunulia rafki yake zawadi ya gauni la harusi mil 1...Mara aelezee kuna kipindi alikuwa mauritius au Uk....In short anaonekana si mtu wa kawaida...
Hivi kuna la ziada au ni utangazajo tu wa clouds ndo unalipa sana?...Pia mwenye CV yake naomba atuwekee hapa tafadhali
Kuandika tu hujui..quality za watangazaji bora kwa kila nafasi utazijuaje?.We n mj.... Ingekuwa una akili ingekuwa umeelewa Ila ujuaji na mapenzi binafsi unakusumbua hakuna shoobya asubuh iliobamba Kama ya Fina, Gerald na masoud na hakuna mtangazaji wa like mbunifu Tanzania Kama salama j na hakuna kipindi Bora Cha redio kikichovutia Kama Friday 9t live ya sebo baadae sebo na salama pia hakuna kipindi kikichobamba zaidi machoni kwa watu Kamaze comedy Yakina joti, city sound na city sound 2 balloon Cha seki kikifuatiwa na plannet bongo ya salama J na hakuna igizo Bomba Kama la maisha jumamosi enzi za itv n itv kikifuatiwa na kidedea jumapiki huku jumatatu mtoto atumwi dukani kwa Mambo hayo wakimsubiri joti na mpoki wa enzizile bia kusahau bishanga na saga la ndugu na mke usisahu ucheshi wa zembela na maksi enzi zile.
Tanzania Babra yupo pale kwa moo wengine n Babura
Nimekimbia chapu nikijua huyu Bidada Smart kumbe anazungumziwa Barabaraa utopolo.