Naomba kupata kampuni isiyo ya ubabaifu ya wauzaji wa Magari USED wanaoruhusu kulipia kidogo kidogo

Naomba kupata kampuni isiyo ya ubabaifu ya wauzaji wa Magari USED wanaoruhusu kulipia kidogo kidogo

incredible terminator

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2016
Posts
2,498
Reaction score
4,162
Habari wakuu, Habari za mwaka Mpya?

Nahitaji Kampuni isiyo babaifu ya uuzaji wa Magari Used wanaoruhusu kulipia kidogo kidogo. Ndoto zangu tangu mwaka Jana zilikuwa za kupata Usafiri baada ya kuuza Gari langu tangu mwaka Juzi kutokana na changamoto za kimaisha, ila mwaka mzima uliopita nilikuwa napambana kutunza akiba walau nipate Gari la kutembelea ila imekuwa ngumu sana kila nikifkia kiwango flani changamoto zinaibuka, Hakika nimepambana kurejesha usafiri hadi sasa mwaka mpya umeanza sijafanikisha, Naomba kwa anaefaham kampuni isiyobabaifu wanaoruhusu kulipia kidogo kidogo nianze huduma hiyo.

Walau ndani ya mwaka 1 au miez 6.

Au hata kama kuna mdau hapa anayo Gari isiyo na kipengere kama ataruhusu nimpe pesa kwa awamu nipo tayari tuandikishane, Mimi ni kijana nina makazi ya kudumu kumaanisha nimejenga ninaishi nyumban kwangu kama atapatikana mdau atakuja had home atapafahamu na tutaandikishana.

Kusema kwel hakuna fedheha na changamoto kama ninazopitia maana nilizoea kutumia Gari ila kwa sasa napata changamoto sana hasa linapokuja suala la kutoka na familia kwenda maeneo kama Hospital etc inalazimu nikodishe kibajaj.
 
Ungekuwa mwajiriwa wa serikali ingekuwa rahisi hasa kwa mikoani.
Upo tayari kuacha kado ya gari hadi umalize kulipia?
Sio tu kuacha hata kama gari atabaki nayo pia yote sawa kimsingi ni makubaliano tu. Gari iwepo na tupeane mda wa malio ndugu. Kama atawiwa kunipa gari mda naendelea kulipia ni sawa au hata kama atabaki nayo napo ni sawa kimsingi tu niruhusiwe kulipa kidogo kidogo kwa gari nitakayohitaji kwa uchumi nilionao
 
Sio tu kuacha hata kama gari atabaki nayo pia yote sawa kimsingi ni makubaliano tu. Gari iwepo na tupeane mda wa malio ndugu. Kama atawiwa kunipa gari mda naendelea kulipia ni sawa au hata kama atabaki nayo napo ni sawa kimsingi tu niruhusiwe kulipa kidogo kidogo kwa gari nitakayohitaji kwa uchumi nilionao
Ni muajiriwa au umejiajiri?
 
Habari wakuu, Habari za mwaka Mpya?

Nahitaji Kampuni isiyo babaifu ya uuzaji wa Magari Used wanaoruhusu kulipia kidogo kidogo. Ndoto zangu tangu mwaka Jana zilikuwa za kupata Usafiri baada ya kuuza Gari langu tangu mwaka Juzi kutokana na changamoto za kimaisha, ila mwaka mzima uliopita nilikuwa napambana kutunza akiba walau nipate Gari la kutembelea ila imekuwa ngumu sana kila nikifkia kiwango flani changamoto zinaibuka, Hakika nimepambana kurejesha usafiri hadi sasa mwaka mpya umeanza sijafanikisha, Naomba kwa anaefaham kampuni isiyobabaifu wanaoruhusu kulipia kidogo kidogo nianze huduma hiyo.

Walau ndani ya mwaka 1 au miez 6.

Au hata kama kuna mdau hapa anayo Gari isiyo na kipengere kama ataruhusu nimpe pesa kwa awamu nipo tayari tuandikishane, Mimi ni kijana nina makazi ya kudumu kumaanisha nimejenga ninaishi nyumban kwangu kama atapatikana mdau atakuja had home atapafahamu na tutaandikishana.

Kusema kwel hakuna fedheha na changamoto kama ninazopitia maana nilizoea kutumia Gari ila kwa sasa napata changamoto sana hasa linapokuja suala la kutoka na familia kwenda maeneo kama Hospital etc inalazimu nikodishe kibajaj.
Ongea vizuri na watu,hapo Posta Dsm. Kampuni ipo na wanakupa mpaka Fuso la mchanga,na mfumo ni rafiki,lakini sababu unaishia kuongea na watu wa kushabikia mpira wa yanga na simba basi unakosa mengi,ongea na watu wa juu,hayo mambo ya simba na yanga ni magumashi,ongea na watu wa nyota tano ambao kahawa wanakunywa slipway pembeni kabisa ya bahari.Buda badirika.
 
Kama upo karibu na DSM au upo dsm unaweza kufanikiwa .


Utaratibu wa kulipa Kwa installments unapewa Gari unaanza kutumia Ila hawatukupa kadi .


Ni vizuri ungesema unahitaji aina gani ya gari

Location uliyopo
Dhamama yako

Ili usaidiwe kwa haraka
 
Kama upo karibu na DSM au upo dsm unaweza kufanikiwa .


Utaratibu wa kulipa Kwa installments unapewa Gari unaanza kutumia Ila hawatukupa kadi .


Ni vizuri ungesema unahitaji aina gani ya gari

Location uliyopo
Dhamama yako

Ili usaidiwe kwa haraka
Nipo Dodoma, dhamana yangu kubwa ni makazi kumaanisha nina nyumba... ila sion kama kuna haja ya kukabidhi hati yangu ya nyumba kwa mtu ili anipe Gari ambayo tutakubakiana abaki na Kadi au abaki navyo vyote hadi nitakapomaliza malipo kulingana na makubaliano.

Pia sihitaji Gari ya bei kubwa wala sihitaji Gari First Hand, maana najua galama zake ni kubwa,

ama headng inavyosomeka nahitaj gari used ambao atleast iko vzuri inaweza kuw namb D au C kimsingi iwe gari Affordable na low fuel consumption. Ikipatika Ist, premio, wish, Raum, porte, Vits, Passo, suzuki expresso, starlet, etc kimsingi iwe Gari ya bei nafuu its Ok
 
Nipo Dodoma, dhamana yangu kubwa ni makazi kumaanisha nina nyumba... ila sion kama kuna haja ya kukabidhi hati yangu ya nyumba kwa mtu ili anipe Gari ambayo tutakubakiana abaki na Kadi au abaki navyo vyote hadi nitakapomaliza malipo kulingana na makubaliano.

Pia sihitaji Gari ya bei kubwa wala sihitaji Gari 1. Hand maana najua galama zake ni kubwa, kama headngi inavyosomeka nahitaj gari used ambao atleast iko vzuri inaweza kuw namb D au C kimsingi iwe gari Affordable na low fuel consumption. Ikipatika Ist, premio, wish, Raum, porte, Vits, Passo, suzuki expresso, starlet, etc kimsingi iwe Gari ya bei nafuu its Ok
Utapata mkuu
 
S
Ongea vizuri na watu,hapo Posta Dsm. Kampuni ipo na wanakupa mpaka Fuso la mchanga,na mfumo ni rafiki,lakini sababu unaishia kuongea na watu wa kushabikia mpira wa yanga na simba basi unakosa mengi,ongea na watu wa juu,hayo mambo ya simba na yanga ni magumashi,ongea na watu wa nyota tano ambao kahawa wanakunywa slipway pembeni kabisa ya bahari.Buda badirika.
Saw mkuu ila hapa umesaidia nin sasa si bora ungeweka hapa email ya hao maboss au namna ya kuwapata..
 
Back
Top Bottom