Naomba kupata list ya watoa huduma Fiber Dar es Salaam

Naomba kupata list ya watoa huduma Fiber Dar es Salaam

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
Habari waungwana
Naomba kujua watoa huduma ya Fiber Dar es salaam, kama utakuwa na mawasiliano yao itakuwa poa ukiweka ikibidi na bei za huduma zao pia.

Naomba kuwasilisha.
 
Habari waungwana
Naomba kujua watoa huduma ya Fiber Dar es salaam, kama utakuwa na mawasiliano yao itakuwa poa ukiweka ikibidi na bei za huduma zao pia.

Naomba kuwasilisha.
Watoa huduma ni wengi sana ungetaja eneo lako ingekua ni rahisi mtu kukusaidia. Siku hizi wanaweza fika hata 50-100
 
Habari waungwana
Naomba kujua watoa huduma ya Fiber Dar es salaam, kama utakuwa na mawasiliano yao itakuwa poa ukiweka ikibidi na bei za huduma zao pia.

Naomba kuwasilisha.
Hakuna kama fiber ya Yas. Yani ni huduma pekee ambayo ninaweza kuimbia mapambio. 0714 100 100.
Ni beyond my expectation
 
Hakuna kama fiber ya Yas. Yani ni huduma pekee ambayo ninaweza kuimbia mapambio. 0714 100 100.
Ni beyond my expectation
Yas nimewapigia wanasema Kariakoo bado hawajaanza kusambaza huduma
 
Eneo nililopo ni Kariakoo- Ilala Dar es Salaam
Kariakoo kampuni mpya savannah, nipo kwenye plan ya kuitest ila hata wewe unaweza kuwa mbuzi wa kafara utusaidie mkuu.

Vifurushi vyenye value ni
20mbps kwa 49,000
40mbps kwa 59,000

Kujua kama wapo kwako angalia nje kwenye nguzo za fiber ukiona waya wa orange ujue ni wao.

Alternative ya bei rahisi ni Raha, sema hawa wanaringa na ku chagua majengo, kama jengo lako halina wapangaji wengi wanapotezea,

10mbps kwa 50,000
20mbps kwa 60,000

Then wapo Zuku
10mbps wao ni 69,000 sema wana vi ofa ofa vingi hawa.

Zipo kampuni nyengine kama Go fiber na wengineo ila naona kama vifurushi havina value ama huduma si nzuri
 
Kariakoo kampuni mpya savannah, nipo kwenye plan ya kuitest ila hata wewe unaweza kuwa mbuzi wa kafara utusaidie mkuu.

Vifurushi vyenye value ni
20mbps kwa 49,000
40mbps kwa 59,000

Kujua kama wapo kwako angalia nje kwenye nguzo za fiber ukiona waya wa orange ujue ni wao.

Alternative ya bei rahisi ni Raha, sema hawa wanaringa na ku chagua majengo, kama jengo lako halina wapangaji wengi wanapotezea,

10mbps kwa 50,000
20mbps kwa 60,000

Then wapo Zuku
10mbps wao ni 69,000 sema wana vi ofa ofa vingi hawa.

Zipo kampuni nyengine kama Go fiber na wengineo ila naona kama vifurushi havina value ama huduma si nzuri
Ahsante sana, hawa Raha vipi si wako ontime kwenye kurespond changamoto za mteja? Zuku naona kama malalamiko yamekuwa mengi na wako speed kuja kufanya installations tu ila ukipata changamoto wanajivuta sana.
 
Ahsante sana, hawa Raha vipi si wako ontime kwenye kurespond changamoto za mteja? Zuku naona kama malalamiko yamekuwa mengi na wako speed kuja kufanya installations tu ila ukipata changamoto wanajivuta sana.
Zuku ndio best customer care mkuu, wanakuja fasta sababu wanapewa commission, hawaji kurekebisha sababu hawalipwi commission, ila ofisini kuna jamaa wakiku convince kulipia na wao wanapewa commission.

So uwe na namba za watu wawili, Za anayekuja kufunga na mtu wa ofisini, kutokana na nature ya Tatizo unaemtafuta fasta atalitatua.

Hao raha Inategemea na Jengo, kama Jengo lako halipo kwenye coverage yao wanaringa sana.
 
Back
Top Bottom