Naomba kupata uzoefu toka kwa yoyote anayetumia IGT Insurance

Naomba kupata uzoefu toka kwa yoyote anayetumia IGT Insurance

hp4510

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
7,235
Reaction score
7,392
Habari za leo wakuu,

Napenda kupata uzoefu wa mtu yoyote ambae amewahi kutumia bima tajwa hapo juu

Mimi natumia hiyo bima na nilipata ajari mwezi wa 12 - 2019 na mambo yote ya kesi yakaisha mwaka huu January.

But mpaka leo October hiyo bima haijalipa kitu chochote.

Waliagiza fundi wao akaja kukagua, wakasema nitafute fundi wangu nae akaja kukagua but Mpaka leo ni zaid ya miez 8 kila ukipiga simu kwao nazungushwa tu.

Kuna mtu yoyote ambae alitumia hii bima na akalipwa kwa wakati?
 
Bima vichochoroni huliza wengi. Nenda kawashitaki TIRA
 
Habari za leo wakuu,

Napenda kupata uzoefu wa mtu yoyote ambae amewahi kutumia bima tajwa hapo juu..
Kama hukumuhonga asseser wao imekula kwako, hao jamaa ni wasum ufu mbaya sana. Iliwahi kunikuta kupitia hao jamaa. Walinisumbua mwaka mmoja.wakati wa kunilipa walinipa walichokitaka.
 
Back
Top Bottom