Naomba kupata ya haraka kwa wabobezi wa Mitihani hapa JF

Naomba kupata ya haraka kwa wabobezi wa Mitihani hapa JF

Tunapita1

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2020
Posts
561
Reaction score
1,010
Ushawahi kufanya mtihani halafu msimamizi akasimama sana nyuma yako akiangalia unachoandika kisha unamsikia akitangaza JAMAN HAKIKISHEN MNASOMA VIZUR MASWALI
 
In fact huyo anakuwa amekusaidia unfairly kwa wengine kwani anakuamsha kutambua kuwa huenda swali umelisoma vibaya na unaweza kurekebisha majibu yako.
 
Back
Top Bottom