Heshma kwenu wana JF
Mi ni kijana wa kitanzania ambaye nimeajiriwa, lakini kusema ukweli ajira inaboa! Kutokana na hili, nimekuwa nikibuni idea za kibiashara. Mara nyingi nikiwaeleza watu idea zangu wanasema zinahitaji mtaji mkubwa ambao mimi binafsi siwezi kuipata hiyo hela hata kama nikipata mafao ya uzeeni hata hivyo sijakata tamaa.
Kwa ufupi naomba nipatiwe msaada wa namna ya kumpata mwekezaji.
Mi ni kijana wa kitanzania ambaye nimeajiriwa, lakini kusema ukweli ajira inaboa! Kutokana na hili, nimekuwa nikibuni idea za kibiashara. Mara nyingi nikiwaeleza watu idea zangu wanasema zinahitaji mtaji mkubwa ambao mimi binafsi siwezi kuipata hiyo hela hata kama nikipata mafao ya uzeeni hata hivyo sijakata tamaa.
Kwa ufupi naomba nipatiwe msaada wa namna ya kumpata mwekezaji.