Naomba kupewa utaalamu juu ya AC za majumbani


Shukran Jombaa!
 

wakuu kwa maana halisi inawezekana kutumia mashine moja (iyo yenye feni %%bila shaka ndio yenye kutumia umeme zaidi%%) peke yake kwa ajili ya vyumba viwili tofauti ili kusev gharama ya kuwa nazo mbili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…