Ndugu wana JF naomba kuuliza bei ya madini ya green amazonite na mtu mwenye kujua soko lake kwa hapa Tanzania. Ninaposema soko namaanisha ni wapi naweza kuuza au ni kina nani ambao wana"dili" na biashara hii.
Vp umefaniikiwa? green yako ni kuanzia gm ngapi na itategemea ni ya wapi? huwezi ambiwa bei kabla hayajaonekana coz kuna mengine yanakua na matatizo. mimi ni dearler
Vp umefaniikiwa? green yako ni kuanzia gm ngapi na itategemea ni ya wapi? huwezi ambiwa bei kabla hayajaonekana coz kuna mengine yanakua na matatizo. mimi ni dearler