Naomba kura zenu hapa tafadhali

Naomba kura zenu hapa tafadhali

Bandu Ncheche

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2016
Posts
512
Reaction score
326
Mimi ni mgombea wa Uenyekiti wa Kitongoji kwa tiketi ya CCM, mgombea mwenzangu anawakilisha vyama vya upinzani. Ukiandika CCM kura ni yangu, ukiandika 'UPINZANI" kura itakuwa ya mgombea wa upinzani.

Kura zitahesabiwa 24/11/2019 huruhusiwi kurudia, ushindi utakaopatikana hapa utakuwa ushindi wa nchi nzima, nikishinda mimi wa CCM nchi nzima wenyeviti wa vitongoji/mitaa watakuwa wa CCM, hali kadhalika wakishinda wapinga maendeleo.

Haya twende kazi
 
Back
Top Bottom