DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Habar za Leo.
Naomba kuuliza juu ya Adhabu ya kutoa lugha ya kuudhi kwa mtu flani sheria ya mawasiliano na Electronic ya mwaka 2010 inasemaje?
Naomba kuuliza juu ya Adhabu ya kutoa lugha ya kuudhi kwa mtu flani sheria ya mawasiliano na Electronic ya mwaka 2010 inasemaje?